Naishi naye ndio, Lakini...

Achana na fikra zako potofu za malengo makubwa na mchumba wako na kwamba huyo unayeishi naye huna hisia naye wakati ulimvua picchu huku umesimamisha na ukamgegeda. Muoe huyo mrembo bila kuchelewa. Malengo makubwa sasa yahamie kwa mama na binti yake.

 
Me makushauri mtie kwanza mimba huyo.mvhumba mwengine ile kwanza ujiwekee uwakika kama hyo mwengine ukishamtia mimba ndo anza kufanya nae mipango ya kukaa nae la sivyo nae atakufanyia kitu hutokuja kuamini kama yeye kakufanyia hivyo
Duh!!! Mpaka mwili umenisisimka...
 
Kikubwa tia mimba nahuyo mwengine me mwenyewe na mkasa kama wako kuna mtu nimezaa nae lakini linapokuja swala la upendo kwake alipo kabisa nimejitahidi mpaka basi yani ila ushauri wangu huyo unaempenda akikisha unatia mimba kwanza kujiwekea uwakika
Kuna jambo la kujifunza kwakweli...
 
Mkuu hakuna mwanamke anayeweza kukusamehe huku bado unaishi na huyo mwanamke,kuna kitu karenga juu yako na baada ya hapo unaweza kujuta maisha yako yote,fanya ufanyavyo kama ulie zaa nae hana shida usimuache,habari za hisia zitarejea tu ondoa shaka
 
Kama uliezaa naye hana shida zaidi ya kutokuwa na hisia naye, nakushauri usimuache na ogopa sana mwanamke mkimya,usifikiri hana mdomo mpe heshima yake,fanya yako na huyo mchumba wako japo naamini mwisho wake ni mbaya zaidi hasa utakapojichanganya ukamuacha mzazi mwenzio,na kama ni hisia kapige pombe zako lazima hisia zitasoma tu,kama zilivyosoma hapo mwanzo
 
Usiishi na mwanamke usiyempenda eti kisa umezaa naye, Mwandalie Mazingira mazuri mama na mwanao halafu muoe haraka mwanamke wa ndoto zako ili uishi kwa furaha, Usitishwe na maneno hakuna revenge wala kisasi
 
Kusamehe kunawezekana hasa kwa mtu unayempenda, mchumbako kakusamehe kweli, tena kumbuka amekuvumilia na kukusubiri kwa muda mrefu, fanya umuoe Mwanamke uliyemwahidi kumuoa, uliyezaa naye mwandalie Mazingira mazuri ya maisha
 
Mkuu umenichekesha sana unavyong'ang'ana kwamba una malengo makubwa wakati mimi sioni kama una lengo lolote kubwa 😀
Wewe bwana hapo ndio umeshaoa cha maana we endelea kujenga maisha na mkeo na mtoto wenu. Sio kila ndoa ina matarumbeta mkuu. Miaka minne yote mi nafikiri huyo ulie nae ndani ndio mkeo. Hizo nyingine ni ndoto tuu kama mimi navyoota kujenda ghorofa
Kuna jambo la kujifunza kwakweli...
 
Hahahahahahahah jamani..... Nimecheka sana kwakweli hayo malengo amshirikishe baby mama wake wayafanye aache porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…