Naishauri Serikali isiwatumie ambao sio watumishi kwenye sensa, maeneo mengi wameharibu kazi na hakuna njia ya kuwajibisha

Inamaana hapo Dakawa au Dumila hakuna wakaazi/wazawa ambao ni competent kuliko hata wewe mwl na akapewa jukumu hilo? Sehemu nyingi mchakato mzima wa application ulihusisha barua ya utambulisho toka kwa mjumbe kwenda kata kusainisha form. Unajua lengo lilikua ni nini? Au wewe ni mwl wa mchongo?
 
Kichwa maji tu, wabunge 19 wapo mjengoni ili hali wamefukuzwa uanachama , wakati wenzao alipo fukuzwa uanachana kesho yake akawa hana ubunge.

Je ni nani anavunja kanuni kati yako the tichaz au asie na ajira
 
Wanatetea eti wanawapa ajira. Wanatest kwenye professional career Ili kazi ziharibike, hili unaweza ukaliona kwenye chaguzi... Wanaofanyia mpaka jeshi letu lihangaike kulinda raia ambaye hana hofu na kujali ubora wa kazi.
Sawa mwl. Hata wanaovurunda kila siku na kutumbuliwa na wengine kutajwa kwenye report ya CAG siyo watumishi.
 
ubinafsi

roho mbaya haijengi

ndo mana ukawa mwalimu.

wasipopewa wengine haikuzidishii chochote,
 
Mm nashauri wachanganywe wote ili wasio na ajira wapate uzoefu Kwa watumishi hasa watumishi walioshiriki zoezi la 2012 kama wataambatanisha kitambulisho cha ushiriki wa sensa ya 2012 itasaidia sana
 
Nimefanya kazi na hao watumishi unao wapigia chapuo ni wachache sana wapo serious hasa wanaume , wanawake ni miyeyusho tu..

Kazi hii wapewe vijana wanaojitambua bila kujali anakazi au hana kazi
 
Nimefanya kazi na hao watumishi unao wapigia chapuo ni wachache sana wapo serious hasa wanaume , wanawake ni miyeyusho tu..

Kazi hii wapewe vijana wanaojitambua bila kujali anakazi au hana kazi
hili zoez kwanza halina mlengwa awe mtumishi au asiyemtumishi swala kubwa ni umakini wa kazi ndo mbana hata Hawa NBS.wameweka vigezo elekezi so hata hawa watumishi nao hawana.uzoefu wowote kwenye hili zoez la sensa ndio maana zoez litaanza na semina elekezi na mwisho wa siku watu makini watapatikana tu.

mleta maada acha chembechembe za ubinafs.
zoez hili linahitaj watu makini tu na uadilifu wa kazi.
 
Huu Uzi dizain Kama una ubaguzi ivi Mbona kamisaa wa sensa alisema kipaumbele kitakua tusio na ajira? Au kumbe Ni changa la macho
 
Mtu anatoka Korogwe mjini anaenda Mombo kuhesabu watu anaharibu jioni tuko Mombo.
kwa ufahamu wako mkubwa!

sensa imeanza toka mwaka 1962 ni mara ngapi zoezi la sensa limeharibika?

we waachie tu watu wapate ridhiki, kwani mangapi hata yanafanyika hayana yija kwa taifa na husemi?

kila siku tunaona ujinga unaoendelea serikalini , watu hawafanyi kazi kwa weledi , wizi umetamalaki ma ofisin lakini jeh! huwa inaweka mabandiko ya kukemea?
 
roho mbaya itakuua
 
Watz Ni watu Wajinga We Ni Mtumishi then unataka Gombea laki tano na kijana Jobless aliyeko mtaani almost 5 Years kwa kigezo Cha uzoefu so hapo sion point yako what u try to expose zaidi ya Kufikiria interest zako Mnabidi Mbadilike Sana Wabongo la sivyo mtapeta taharuki kwa kujiona nyie Ni better zaidi ya wengine .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…