Naishauri serikali ifute mamlaka ya TCRA

Naishauri serikali ifute mamlaka ya TCRA

Kila mamlaka imeanzishwa kwa sheria na mimi naona niishie hapa niendelee na mambo yangu sababu kama hujui serikali sababu zipi zilizofanya ianzishe mamlaka na kazi za mamlaka ni zipi tunabishana nini sasa
Basi ushajiweka wewe ni wa wapi. Usirudie tena kuita watu vilaza wakati ni wewe.
 
K
Kazi za EWURA ni zipi ukiachana na hyo ya kupanga bei? ?ukinijibu ntaamini mimi na IQ ndogo na ntalinganisha na ulichokiandika hapo juu uniprove wrong na ntaachana na jamiiforum
kazi y
Kazi za EWURA ni zipi ukiachana na hyo ya kupanga bei? ?ukinijibu ntaamini mimi na IQ ndogo na ntalinganisha na ulichokiandika hapo juu uniprove wrong na ntaachana na jamiiforum
Mbona imekushtua sana,kazi yao ni kudhibiti,ila wanapata 1 % na hivyo bei ya umeme ikipanda na wenyewe wanapata pato zaidi,kwa hiyo ndiyo maana yangu.
a
 
Yamenikuta na TCRA sina hamu nao, hawa watu huenda ni kweli ni butu, huwezi ku-submit malalamiko TCRA halafu wanakupiga danadana tu. Inauma Sana. Mimi nimeumizwa na HAO watu, nadhani mfumo Wao ni dhaifu sana Sana. Ukituma e-mail ya malalamiko kwa email zao hadi ujibiwe Uwe umefanya kazi
 
Mpaka sasa sielewi kwanini tukununua vocha tunalazimishwa kujiunga na kifirushi na muda ukifika hats kama bado una muda was maongezi zinakatwa tcra wapo kama hawajui nn kinaendelea kwa kifupi hii taasisi ifutwe haina umuhimu
 
Mpaka sasa sielewi kwanini tukununua vocha tunalazimishwa kujiunga na kifirushi na muda ukifika hats kama bado una muda was maongezi zinakatwa tcra wapo kama hawajui nn kinaendelea kwa kifupi hii taasisi ifutwe haina umuhimu
tcra wana rohombaya sana
 
Back
Top Bottom