Sasa hivi watasema Mileard Ayo sio mtanzania heheheheee
Thread ikikukuta pabaya na umepigika unaweza hata ukashikwa na haja wakati hujala siku 2.
Mie naona mleta mada ameleta hii ili sio tujichukie bali itupe changamoto namna ya kufika hapo jirani zetu walipo na walau tuwe na wivu wa maendeleo sio wivu wa kuwaza kulogana na kuibiana mwishowe tunarudishana nyuma tuu.
Time fact, tuko nyuma ya muda mnooooo.
Jipime kuanzi kesho, ukijikuta hata milo yako unakula nyuma ya muda wa mlo basi ujue na mambo mengi umeachwa nyuma. Utakuta mtu chai anakunywa saa sita sasa lunch................... anyaways maisha ni mipango na kila mtu yuko huru.