Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,191
Hizo bold.... wametumia matairi kwenye nini???:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Mkuu Asprin, asante kwa kuliona hilo kosa, nilitaka kuandika tiles. Nitarekebisha sasa hivi.
Tiba
Hizo bold.... wametumia matairi kwenye nini???:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Mamushka.... kwanza mi Pako ako miss sana wewe...
Pili.... wenyewe hawaitaki hiyo blue kwenye hiyo red.
Baada ya kusema hayo, nakusalimu mama yangu.
Mi mwenyewe sipendi uitwe hivyo, ni kumdhalilisha tu mwalimu. Mschewwwwww zao!!!
mbona unajitambulisha hivyo? Unahisi nimezeeka kiasi memori imefuta?
afu marhabaa'manangu'. Naskia unagombea ubalozi?
Mbona ya kawaida sana iyo
Ngoja uwanja mpya wa Dar ukamilike.. Na wao watakuwa wanapiga picha kuonyeshana.
"kitu kilichotengenezwa na binadamu kinaweza kuvunjwa na kutengenezwa tena"
Dar pale vigeti (boarding) vyote viko sehemu moja, una-manage bila screens wala kuuliza popote. Hiyo Nairobi ni kitu kingine, nilipita kipindi imeungua so baadhi ya sehemu zilikuwa zimefungwa, ila dah!. Huwa roho inaniuma sana jamaa wanavyotuacha mbali.
Si ngoja tuwagawie kwanza walimu Laptop, hayo mengine baadae!
Hiyo chenchi itabaki?
hiyo ndio direct...ya chonya wa chilonwa...elewa lengo
one thing of DAR airport you can't lost when u arrive....but Nairobi u can
Acha kujitetea, si vyema kulazimisha kuongea lugha usiyoijua, unaaibisha nchi kama ambavyo airport yetu inavyotuaibisha!
Nairobi kuna Nairobi airport ambao ni mdogo unatumiwa na ndege ndogo za kitalii na usafiri wa ndani tu labda kwa special issues ni mzuri lakini sio rahisi upotee vitu vingi vipo pamoja,alafu kuna Jomo kenyata international airport huu ni mkubwa sana zaidi ya mara nne na wa kwetu hapa kweli unaweza kupotea sio masihara upo nje ya jiji kama 15km
Hii ndiyo lugha unayoimudu vyema na ndiyo uliyopaswa hasa kuiandika, sio kiingereza. Kumbe mashairi ya kiswahili unayaweza!!? Usirudie kuandika kwa kiingereza, unaiaibisha nchi. Watu wa dizaini zenu ndio mnaokula miwa barabarani, mnatuchafulia miji na majiji! Usiende tena airport na kandambili, ziache bafuni.Acha ushakunaku mtoto wa kiume..utatolewa linda kunifuatafuata....ongelea mada iliyoletwa hapa kiuno wewe...sio kuja grammar zako kwangu....usichukue promo kubishana na mm humu...hunijui...Lugha unaijua kiasi gani...lugha ni mama yako/.? haya umenisahhihisha sasa nini unifutalie anzisha thread yako nime-mention tukabishane huko..sio unanifuatilia na kitu wala akihusu thread.....
Hii ndiyo lugha unayoimudu vyema na ndiyo uliyopaswa hasa kuiandika, sio kiingereza. Kumbe mashairi ya kiswahili unayaweza!!? Usirudie kuandika kwa kiingereza, unaiaibisha nchi. Watu wa dizaini zenu ndio mnaokula miwa barabarani, mnatuchafulia miji na majiji! Usiende tena airport na kandambili, ziache bafuni.