Nairob airport

Nairob airport

Hizo bold.... wametumia matairi kwenye nini???:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Mkuu Asprin, asante kwa kuliona hilo kosa, nilitaka kuandika tiles. Nitarekebisha sasa hivi.

Tiba
 
Mamushka.... kwanza mi Pako ako miss sana wewe...

Pili.... wenyewe hawaitaki hiyo blue kwenye hiyo red.

Baada ya kusema hayo, nakusalimu mama yangu.

Mi mwenyewe sipendi uitwe hivyo, ni kumdhalilisha tu mwalimu. Mschewwwwww zao!!!

mbona unajitambulisha hivyo? Unahisi nimezeeka kiasi memori imefuta?

afu marhabaa'manangu'. Naskia unagombea ubalozi?
 
Mi mwenyewe sipendi uitwe hivyo, ni kumdhalilisha tu mwalimu. Mschewwwwww zao!!!

mbona unajitambulisha hivyo? Unahisi nimezeeka kiasi memori imefuta?

afu marhabaa'manangu'. Naskia unagombea ubalozi?


Ewaaaaa.... mi mefurahi sana. Afu ukiendelea kunitenga namna hii, ntaenda kukusemelea kwa bibi.

Nlikuwa na nia hiyo mamushka, lakini wamenikata.

Safari ya matumaini imehamia upande mwingine. Watajuta kunikata, hayo mafuriko sijui watayazuia kwa nini.
 
Mbona ya kawaida sana iyo

maxresdefault.jpg

2373.jpg

tanania DAR

JKIA kenya
FJoaJUO.jpg



CKn00DaWIAERUbd.jpg:large


19467607233_5ddf5e6dec_h.jpg

11828569_844942458929712_1172729312382199185_n.jpg


11836930_844934482263843_7467410345562849829_n.jpg


11430210_1436064106719760_1265521230_n.jpg


11420775_709866025792518_250996104_n.jpg

10296701_112381435772419_2094007676_n.jpg


aFXroEG.jpg


Kenya_Airways_Airside_Bus.jpg


11429728_817425465014745_6170051101084768076_n.jpg


11392904_817425461681412_5499647112386900503_n.jpg


10850324_817425458348079_6362039529180467458_n.jpg


__________________
The higher you go, the cooler it becomes!



CFB-OXEWgAA3AbB.jpg


CFB-OXCWIAAT792.jpg


CFB-OXCW8AAHqEN.jpg

__________________


 
Bado ni cha motto.. Tanzania tulikosa Dira muda kitambo hata kabla ya Kolimba kutangulia kwa MOLA
Ngoja uwanja mpya wa Dar ukamilike.. Na wao watakuwa wanapiga picha kuonyeshana.

"kitu kilichotengenezwa na binadamu kinaweza kuvunjwa na kutengenezwa tena"
 
Dar pale vigeti (boarding) vyote viko sehemu moja, una-manage bila screens wala kuuliza popote. Hiyo Nairobi ni kitu kingine, nilipita kipindi imeungua so baadhi ya sehemu zilikuwa zimefungwa, ila dah!. Huwa roho inaniuma sana jamaa wanavyotuacha mbali.

Si ngoja tuwagawie kwanza walimu Laptop, hayo mengine baadae!
 
one thing of DAR airport you can't lost when u arrive....but Nairobi u can

Nairobi kuna Nairobi airport ambao ni mdogo unatumiwa na ndege ndogo za kitalii na usafiri wa ndani tu labda kwa special issues ni mzuri lakini sio rahisi upotee vitu vingi vipo pamoja,alafu kuna Jomo kenyata international airport huu ni mkubwa sana zaidi ya mara nne na wa kwetu hapa kweli unaweza kupotea sio masihara upo nje ya jiji kama 15km
 
Acha kujitetea, si vyema kulazimisha kuongea lugha usiyoijua, unaaibisha nchi kama ambavyo airport yetu inavyotuaibisha!


Acha ushakunaku mtoto wa kiume..utatolewa linda kunifuatafuata....ongelea mada iliyoletwa hapa kiuno wewe...sio kuja grammar zako kwangu....usichukue promo kubishana na mm humu...hunijui...Lugha unaijua kiasi gani...lugha ni mama yako/.? haya umenisahhihisha sasa nini unifutalie anzisha thread yako nime-mention tukabishane huko..sio unanifuatilia na kitu wala akihusu thread.....

Sijawi kumjibu ovyo mtu humu....lakini wewe unastahili na hii toka kwangu....Kuwa mtu mzima sio mpaka unye mfupa...mambo ya na minendo yako itakuonyesha....ondoa ujinga wako kwangu mm...akili za kitumwa peleka kuleee.....

kaa mbali na mimi tena mbali kabisa kama petrol na jikon...kiuno kabisa
 
Nairobi kuna Nairobi airport ambao ni mdogo unatumiwa na ndege ndogo za kitalii na usafiri wa ndani tu labda kwa special issues ni mzuri lakini sio rahisi upotee vitu vingi vipo pamoja,alafu kuna Jomo kenyata international airport huu ni mkubwa sana zaidi ya mara nne na wa kwetu hapa kweli unaweza kupotea sio masihara upo nje ya jiji kama 15km

Mkuu uwanja wa ndege za ndani hapo Nairobi unaitwa Wilson airport, hautwi Nairobi airport.

Tiba
 
  • Thanks
Reactions: bht
Acha ushakunaku mtoto wa kiume..utatolewa linda kunifuatafuata....ongelea mada iliyoletwa hapa kiuno wewe...sio kuja grammar zako kwangu....usichukue promo kubishana na mm humu...hunijui...Lugha unaijua kiasi gani...lugha ni mama yako/.? haya umenisahhihisha sasa nini unifutalie anzisha thread yako nime-mention tukabishane huko..sio unanifuatilia na kitu wala akihusu thread.....
Hii ndiyo lugha unayoimudu vyema na ndiyo uliyopaswa hasa kuiandika, sio kiingereza. Kumbe mashairi ya kiswahili unayaweza!!? Usirudie kuandika kwa kiingereza, unaiaibisha nchi. Watu wa dizaini zenu ndio mnaokula miwa barabarani, mnatuchafulia miji na majiji! Usiende tena airport na kandambili, ziache bafuni.
 
Hii ndiyo lugha unayoimudu vyema na ndiyo uliyopaswa hasa kuiandika, sio kiingereza. Kumbe mashairi ya kiswahili unayaweza!!? Usirudie kuandika kwa kiingereza, unaiaibisha nchi. Watu wa dizaini zenu ndio mnaokula miwa barabarani, mnatuchafulia miji na majiji! Usiende tena airport na kandambili, ziache bafuni.


Lazima utakuwa unapenda nyimbo za mzee yusufu na hadija kopa si kosa lako.....!!
 
Back
Top Bottom