Kaka bora uulize uambiwe ila sio kutoa jibu direct kama unafahamu vile ,windows kuna application inaitwa Tapatalk ambayo ndani ya tapatalk unaadd forum zako unazotaka wewe hapo ndipo tunapoipatia jf pia ,halafu mimi pia sikupenda windows mwanzo ila asikwambie mtu nimetumia 520,620,635 sikua naona raha kivile ingawa nilitumia sababu napenda kua na windows tu sasa nina lumia 820 acha maneno kabisa yaaani iko very smooth picture quality ni carl zeis kaweka mkono wake ni super ukija speed 1ghz hatari haistack net 4g yaaan kila ninachopenda nakipata hata situmii kina cortana ingawa wapo but napenda nitakacho nakipata hakika hapa unipe android situmii maana hii lumia sijawah subir application ifunguke,nangoja kwenda 920 au 1020 au zaidi
Mkuu napataje ups za kusoma emails kama Gmail na yahoo? Ninazokutana nazo store sio nzuri zinakukera mpaka nimeirudisha lumia yangu kabatini japo ni 4g
Mi naiona ngumu balaaa sasa hivi inaniambia microsoft account is unavaliable try again, siwezi kudownload chochote hapa nilipo aaaarghhh
Lumia phone was meant kwa kazi hizo za kiofisi ,emails nenda settings,accounts add unazotaka na si emails pekee mpaka accounts za facebook,twitter yaan ni wewe tu mimi napokea na kujibu emails kwenye account zangu zote mpaka za ofisini kwa kutumia lumia yangu,nashukuru siogopi virus na pia automatocally picture zangu zinakua saved to one drive ,hata nifute kila kitu najua pictures na document zangu nitazipata maana uzur ina upload automatically nimeaccept hivyo itumeMkuu napataje ups za kusoma emails kama Gmail na yahoo? Ninazokutana nazo store sio nzuri zinakukera mpaka nimeirudisha lumia yangu kabatini japo ni 4g
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?Lumia phone was meant kwa kazi hizo za kiofisi ,emails nenda settings,accounts add unazotaka na si emails pekee mpaka accounts za facebook,twitter yaan ni wewe tu mimi napokea na kujibu emails kwenye account zangu zote mpaka za ofisini kwa kutumia lumia yangu,nashukuru siogopi virus na pia automatocally picture zangu zinakua saved to one drive ,hata nifute kila kitu najua pictures na document zangu nitazipata maana uzur ina upload automatically nimeaccept hivyo itume
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?
Ndugu mimi nina 820 bado sijapata update ya qindows 10,vipi umeipataje ndugu !? Option ya developer niliijaribu ikanipa update nikadownload ila simu ilizima ikagoma kuwaka mpaka nikaiflash sitaki tena njia ya devwloper nataka official kaka au other option aroundthis is how my 920 lumia phone loaded with windows phone ten looks alike
Windows 10 mobile bado haijatoka kwa simu officialy ingawa iko karibu. Ila kama unataka KUIJARIBU sasa inabidi udownload app inaitwa "windows insider", then fungua na click get preview builds. Jisajili kama insider kwa kuingiza details za account yako ya microsoft. Simu ikirestart utaenda kucheki updates kama unavyocheki nyingine. Hapo utasubiria windows 10 iwe downloaded tu na utaupdate kama kawaida.Ndugu mimi nina 820 bado sijapata update ya qindows 10,vipi umeipataje ndugu !? Option ya developer niliijaribu ikanipa update nikadownload ila simu ilizima ikagoma kuwaka mpaka nikaiflash sitaki tena njia ya devwloper nataka official kaka au other option around
Windows 10 mobile bado haijatoka kwa simu officialy ingawa iko karibu. Ila kama unataka KUIJARIBU sasa inabidi udownload app inaitwa "windows insider", then fungua na click get preview builds. Jisajili kama insider kwa kuingiza details za account yako ya microsoft. Simu ikirestart utaenda kucheki updates kama unavyocheki nyingine. Hapo utasubiria windows 10 iwe downloaded tu na utaupdate kama kawaida.
Chief-Mkwawa mkuu, nilikua na application kwenye simu yangu ya Windows inaitwa Football Highlights, kuna siku nimeitoa ikawa inasumbua kufunguka. Hadi sasa imejaribu kuitafuta store siipati kabisa ila jamaa yangu ana simu ya Windows pia kwake ipo.
Naomba kujua kama naweza kuipata kwa njia nyingine,.
Hapo unamaana gani mkuuhuwezi kusideload apps mpaka ufanye dev unlock
Hapo unamaana gani mkuu
Thanks mkuudeveloper wanaruhusiwa kutest apps zao kwenye simu zao ambazo zinatokea kwenye computer. hivyo unaweza ukaunlock simu kama developer na kuruhusiwa kusideload apps 2 hadi 10 kutegemea na aina ya developer.
sema ni step ndefu kidogo kufanya hivyo.