Naipenda simu yangu ya windows


Mkuu napataje ups za kusoma emails kama Gmail na yahoo? Ninazokutana nazo store sio nzuri zinakukera mpaka nimeirudisha lumia yangu kabatini japo ni 4g
 
Mkuu napataje ups za kusoma emails kama Gmail na yahoo? Ninazokutana nazo store sio nzuri zinakukera mpaka nimeirudisha lumia yangu kabatini japo ni 4g

huitaji kuwa na app ya kusoma email from store ukiwa unatumia lumia, unavhotakiwa kufanya ni kwenye kwenye settings, katika option ya account, add an account. Kuna accounts nyingi unaweza ukaadd including hiZo za kwako. So email ikiingia unafungua kama sms tu
 
Mi naiona ngumu balaaa sasa hivi inaniambia microsoft account is unavaliable try again, siwezi kudownload chochote hapa nilipo aaaarghhh
 
Mi naiona ngumu balaaa sasa hivi inaniambia microsoft account is unavaliable try again, siwezi kudownload chochote hapa nilipo aaaarghhh

Generally utakua simu zinakusumbua sio mchezaji wa simu nenda settings kwenye accounts ka synchronise mara nyingi inatokea hivyo ikiwa password umeweka sio yenyewe kaka ikikubali kusynchronise basi jua itakubali pia kudownload applictions,mimi niwe na android au microsoft napenda kucheza na simu na kujua kila kitu mpaka sasa software siwezi peleka fundi amirekebishie nacheza nayo mwenyewe tu,ukikubali kuijua kila kitu ndio utaona raha ya simu yoyote unayotumia
 
Mkuu napataje ups za kusoma emails kama Gmail na yahoo? Ninazokutana nazo store sio nzuri zinakukera mpaka nimeirudisha lumia yangu kabatini japo ni 4g
Lumia phone was meant kwa kazi hizo za kiofisi ,emails nenda settings,accounts add unazotaka na si emails pekee mpaka accounts za facebook,twitter yaan ni wewe tu mimi napokea na kujibu emails kwenye account zangu zote mpaka za ofisini kwa kutumia lumia yangu,nashukuru siogopi virus na pia automatocally picture zangu zinakua saved to one drive ,hata nifute kila kitu najua pictures na document zangu nitazipata maana uzur ina upload automatically nimeaccept hivyo itume
 
this is how my 920 lumia phone loaded with windows phone ten looks alike
 

Attachments

  • wp_ss_20160110_0002.png
    223.1 KB · Views: 57
  • wp_ss_20160110_0004.png
    237 KB · Views: 60
  • wp_ss_20160110_0006.png
    31.9 KB · Views: 57
  • wp_ss_20160110_0009.png
    20.5 KB · Views: 59
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?
 
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?

Kwanza weka microsoft account ,kisha ndio ukiadd other accounts itakubali hadi gmail,yangu iko hivi
 
Mkuu nimeenda settings, nokia account, najaribu kuingiza Gmail inagoma. Na mbona sioni sehemu ya kuadd account zaidi ya moja?

Ingia kwenye email+accounts hapo ndio utakuta option ya email utakazo sio nokia account ndugu
 
this is how my 920 lumia phone loaded with windows phone ten looks alike
Ndugu mimi nina 820 bado sijapata update ya qindows 10,vipi umeipataje ndugu !? Option ya developer niliijaribu ikanipa update nikadownload ila simu ilizima ikagoma kuwaka mpaka nikaiflash sitaki tena njia ya devwloper nataka official kaka au other option around
 
Windows 10 mobile bado haijatoka kwa simu officialy ingawa iko karibu. Ila kama unataka KUIJARIBU sasa inabidi udownload app inaitwa "windows insider", then fungua na click get preview builds. Jisajili kama insider kwa kuingiza details za account yako ya microsoft. Simu ikirestart utaenda kucheki updates kama unavyocheki nyingine. Hapo utasubiria windows 10 iwe downloaded tu na utaupdate kama kawaida.
 

Hiyo niliifanya nilidownload hiyo insider nikajisajili ikanipa update nikasita kudownload nika uninstall window insider sasa update ikabak pale pale ,siko niko kwenye wifi ikaupdate kumaliza ikazima na kuinstall update ikawa haimalizi kuinstall ikawa inaishia kwenye logo tu,ikabidi nikawekewe windows software upya sasa naogopa kujaribu tena,niliyowekewa ni ya voda net ilikua slow akashindwa download firm ware yake akaniekea ya vodacom aliokua nayo hapa simu ikiwaka inaanza kwanza na logo ya voda inanikera balaaa,nitaibadilisha tu
 
Nitajaribu tena kuweka windows ten ila tatizo nilifuta application ya windows insider au simu sio compatible,!?natumia lumia 820
 
Chief-Mkwawa mkuu, nilikua na application kwenye simu yangu ya Windows inaitwa Football Highlights, kuna siku nimeitoa ikawa inasumbua kufunguka. Hadi sasa imejaribu kuitafuta store siipati kabisa ila jamaa yangu ana simu ya Windows pia kwake ipo.
Naomba kujua kama naweza kuipata kwa njia nyingine,.
 

huwezi kusideload apps mpaka ufanye dev unlock

hapo pengine developer wa hio app kaitoa kwa muda then atairudisha, pengine anataka kuieka kama universal app.

possibility nyengine ni kwamba haionekani region yako. huyo jamaa akisearch store anaipata? kama anaipata eka same region na yeye
 
Hapo unamaana gani mkuu

developer wanaruhusiwa kutest apps zao kwenye simu zao ambazo zinatokea kwenye computer. hivyo unaweza ukaunlock simu kama developer na kuruhusiwa kusideload apps 2 hadi 10 kutegemea na aina ya developer.

sema ni step ndefu kidogo kufanya hivyo.
 
developer wanaruhusiwa kutest apps zao kwenye simu zao ambazo zinatokea kwenye computer. hivyo unaweza ukaunlock simu kama developer na kuruhusiwa kusideload apps 2 hadi 10 kutegemea na aina ya developer.

sema ni step ndefu kidogo kufanya hivyo.
Thanks mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…