Naipenda Dar kupita maelezo

Naipenda Dar kupita maelezo

Mi ni wa Dar ila nimepachoka, NAFIKIRI raha ya Dar ni uwe unakaa mkoani alafu una uwezo wa kuja Dar muda wowote ukijisikia ndo raha! Dar kero! Uzuri wa Dar ni upatikanaji wa kila kitu kwa urahisi.
Au raha ya Dar ni uwe unaishi nje kabisa ya Dar, Madale, kongowe, Chanika, yaani nje kabisa!
Yani ndugu upo moyoni mwangu,yani raha ya dar uwe unakaa pembezoni ya mji ambako hakujajengeka kiholela kuna miti kidogo,si tuliamia mbagala kukiwa bado hakujajaa kama sasa ilikua raha kama tupo kibaha now ni hatari,maadili hakuna,maradhi yameivaa takribani kila familia,hakuna miti ya vivuli kama zamani yani ghasia tu.
 
Watu mtu anajieleza yeye mwenyewe anavyojihisi pia imekuwa tatizo
 
Mi ni wa Dar ila nimepachoka, NAFIKIRI raha ya Dar ni uwe unakaa mkoani alafu una uwezo wa kuja Dar muda wowote ukijisikia ndo raha! Dar kero! Uzuri wa Dar ni upatikanaji wa kila kitu kwa urahisi.
Au raha ya Dar ni uwe unaishi nje kabisa ya Dar, Madale, kongowe, Chanika, yaani nje kabisa!
Yani ndugu upo moyoni mwangu,yani raha ya dar uwe unakaa pembezoni ya mji ambako hakujajengeka kiholela kuna miti kidogo,si tuliamia mbagala kukiwa bado hakujajaa kama sasa ilikua raha kama tupo kibaha now ni hatari,maadili hakuna,maradhi yameivaa takribani kila familia,hakuna miti ya vivuli kama zamani yani ghasia tu.
 
Ukiweza kukaa nje ya Dar kwa mwaka mmoja tu, hutotamani kukaa
Kweli kbs. Nilizaliwa Dar, kino. Nikakulia pale. Ajira ya Kwanza tu mkoani. Nikahisi kufakufa Ila Nikaenda. Naamka saa moja na saa mbili niko ofcn. Nikifikiria zoezi la kuamka saa 11 alfajiri ili kuwahi ofcn huwa nachoka kbs na Dar. Nimebaki wa kwenda kusalimia tu.
 
Sasa ole wako ukirudi nyumbani ujidai unaongea kiswahili cha kizaramo kwa lafudhi ya Kiha,utapigwa tu maana hamna namna.
 
Kukaa dar kwa mwezi mmoja ni tabu.......
Dar ni oven ya taifa, foleni ,vurugu NA fujo za watu ; vyote vinakera.......

Ntakuja batani NA kuwaona ndugu zangu "MKOANI KAMA MNAVYOPAITA ,SIHAMI"
 
Dar raha sana usiku nawasha feni zangu kila kona ya kitanda kuna feni, jumla zipo nne na nikitoka kuoga sijifuti maji nalala direct tena inakuwa kama nilivozaliwa.
 
Watu wamikoani msisahau kulima 24hrs mko jf mjue tunawategemea sana huku mjini.

Dar sihami
 
Jiji lina mahaswi mengi sana hili sio zuri kwa wanao anzsha familia ushoga unakuja kwa kas ya ajabu
 
Naipenda mpaka inakera, nikitoka nje ya Dar mwisho wiki mbili tu naanza kuimisi Dar yangu, na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo inavyozidi kujidhihirisha kwamba siwezi kuishi sehemu nyingine isipokuwa Dar!
Naona unatafuta vita na watu wa mikoani......
 
Inaonekana ww limbukeni dar hujawah kuishi ndiyo una mwaka mpk sasa dar kuna kitu gan cha ajabu
 
Mmesahau kwamba kipindupindu ndo kinapoanzia.Kati ya miji nisiyo itamani kuishi ktk nchi hii ni dar
 
Watu wamikoani msisahau kulima 24hrs mko jf mjue tunawategemea sana huku mjini.

Dar sihami
Wakuja utawajua tu.....siku mkirudi makwenu mnaona wote maf.ala wakati hakuna maisha mnayotengeneza zaidi yao. Kumudu mafuta ya gari tu mnahangaika ni vi Vitz eti mko Dar wakati mikoani huku watu tunakula maisha na 4WD..nyumba ya laki 3 ya maana wakati huko ni banda la uani halafu mnadhan mnamaisha huko
 
Naipenda mpaka inakera, nikitoka nje ya Dar mwisho wiki mbili tu naanza kuimisi Dar yangu, na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo inavyozidi kujidhihirisha kwamba siwezi kuishi sehemu nyingine isipokuwa Dar!
Wewe mgogo unasema Dar yako wazaramo waseme nini sasa.
 
Back
Top Bottom