Naipenda Dar kupita maelezo

Naipenda Dar kupita maelezo

sifa izo za Dar mnafanya watu Wauze ng'ombe huku kijijini na kukimbilia huko ambako Hamna kitu...
 
Naipenda mpaka inakera, nikitoka nje ya Dar mwisho wiki mbili tu naanza kuimisi Dar yangu, na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo inavyozidi kujidhihirisha kwamba siwezi kuishi sehemu nyingine isipokuwa Dar!
Mkuu wewe ni mzaramo?
 
Mi ni wa Dar ila nimepachoka, NAFIKIRI raha ya Dar ni uwe unakaa mkoani alafu una uwezo wa kuja Dar muda wowote ukijisikia ndo raha! Dar kero! Uzuri wa Dar ni upatikanaji wa kila kitu kwa urahisi.
Au raha ya Dar ni uwe unaishi nje kabisa ya Dar, Madale, kongowe, Chanika, yaani nje kabisa!
 
Dar ambayo kuna maeneo ya kiswazi kama Tandale, Vingunguti, Kigogo yaani kila siku vigodoro, makundi ya ajabu kama Panya road, mbwa mwitu nk
 
ha ha ha ha kweli bwana najua mikoani hakuna Dada poa ndiyo maaana huwezi kuishi
 
Karibu sana jijini pale ndio kwetu na kwetu ndio pale...

Naipenda mpaka inakera, nikitoka nje ya Dar mwisho wiki mbili tu naanza kuimisi Dar yangu, na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo inavyozidi kujidhihirisha kwamba siwezi kuishi sehemu nyingine isipokuwa Dar!
 
dar utamu wake ukae nje kidogo ya mji...au ukae ushuani....ila vinginevyo siku zinavyoenda siyo sehemu salama ya kuishi

uzuri wa dar kila kitu kinapatikana kirahisi
 
Tembelea pia na mitaa ya sinza mori...meeda , utaipenda zaidi
 
Naipenda mpaka inakera, nikitoka nje ya Dar mwisho wiki mbili tu naanza kuimisi Dar yangu, na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo inavyozidi kujidhihirisha kwamba siwezi kuishi sehemu nyingine isipokuwa Dar!
Nyie ndio wale mliookotwa ubungo..
 
dar gani hiyo? dar ambayo mtu unakaa kwenye foleni mpaka unasahau unaenda wapi! hali ya hewa mbaya, joto usiulize...kweli watu tunatofautiana!!
 
Back
Top Bottom