TajiriMutoto
Member
- Jun 20, 2012
- 87
- 38
Wewe ni dhaifu kama raisi wako na chama chenu.
Inabidi ukapimwe akili mkuu. Mia
Wewe ni dhaifu kama raisi wako na chama chenu.
asiye dhaifu ni marehemu, kila kiumbe hai kina udhaifu ndio kanuni ya uumbaji. wewe si dhaifu? basi wewe mfu! dhaifu toa dhai = fu, kwa binadamu tunaongeza m inakuwa = mfu!
Huna jipya gamba we William wa Ukweli ni zaidi ya dhaifu, hata sijui niiteje
@Ukeli mtupu kuwa mkweli kwa nafsi yako! Bila CCM ungeujua ukweli wewe?
Penda jirani yako kuliko nafsi yako, naipenda nchi yangu na chama changu, CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!!
Shule za kata ni hatari kubwa sana! zina toa wahitimu wanaofikiri kiwango cha chini kuliko kuku!
Naipenda ccm kwasababu imeonesha sura halisi ya wenzetu. Tumefahamu akina EL, RA, CHENGE nk. Hawa hawafai kupewa madaraka maana ni walafi. Akina Lusinde ni waropokaji, akina Shibuda ni wanafiki, akina Sendeka ni waigizaji, akina Mwigulu ni wazinzi, akina JK ni dhaifu! Naipenda maana nisingewafahamu hawa!
CCM ni baba yangu na CCM ni mama yangu, na Tanzania ni nchi yetu sote. Tudumishe demokrasia na mshikamano kulinda uhuru wa nchi yetu.
Kama wewe huipendi CCM, na huipendi PPT-Maendelo, huipendi CDM, huipendi CUF na huipendi TLP, wala huipendi NCCR-Mageuzi, na hupendi chama chochote cha siasa.........basi we si Mtanzania mpenda maendeleo. CCM juu, juu, juu zaidi!
Ndiyo maana tunasema hizi shule zifungwe kuliko kuwa na wahitimu wa kidato cha nne wasiojua mwelekeo wa maisha yao, bora wasisome'
jaman kwenye hizo hayo mabanda ccm inayoita shule za kata hali ni mbaya mtu kama anabisha tulizeni tuliopiga tempo hko,.
Sina swali