HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 651
- 844
HabarI wakuu,
Nimetokea kukipenda Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Leo siku nzima nimekaa nasikiliza nyimbo ya John Komba kama vile CCM mbele kwa mbele, sasa kumekucha na pisha njia.
Napenda nikiRi kwenu kwa akili zangu timamu naipenda CCM.
Nimetokea kukipenda Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Leo siku nzima nimekaa nasikiliza nyimbo ya John Komba kama vile CCM mbele kwa mbele, sasa kumekucha na pisha njia.
Napenda nikiRi kwenu kwa akili zangu timamu naipenda CCM.