Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu
ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo
ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla
ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu
CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu
CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :
rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo
sio blue rangi ya mikosi
karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo
ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla
ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu
CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu
CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :
rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo
sio blue rangi ya mikosi
karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili