Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
 
CCM hadi sasa hakijaacha kuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi


ni chama ambacho kinafuata siasa ya ujamaa na kujitegemea


ni chama kinachoumwa na shida za wanyonge
 
katu si chama kinachokumbatia ubepari na ubeberu

ndio chama ambacho kimewalea karibu wapinzani wote wa nchi na kuapa watakilinda mpaka kufa


CCM ndio chama pekee ambacho kina utaratibu mzuri wa kiutawala, kinabadilishana uongozi kwa njia ya demokrasia na si chama cha kikabila wala cha kidini

ni chama chenye sura ya kimuungano ambacho kina wabunge pande zote za muungano kwa kuchaguliwa na wananchi
 
  • Thanks
Reactions: SQL
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili

Mapenzi haya ni ya ushabiki sawa na ushabiki wa vyama vya mipira ambayo hayazingatii hali halisi ya jinsi Chama hicho kilivyokwenda nje ya misingi na kukosa mwelekeo. Hata muasisi Namba moja wa Chama ama vyama vya na TANU na CCM alishabaini uozo wa CCM na alikatamka wazi kwamba CCM sasa hivi ni sawa na kokoro linalosomba kila aina ya uchafu! Kwa bahati mbaya 'uchafu' huo ndio ambao sasa unalimaliza taifa la Tanzania.
 
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili

rangi ya kijani mahospitalini huzungushiwa kitanda chenye maiti hapo sasa hapo cjui utasemaje.

ni kweli inaendesha serikali 2 moja ni hii ya mkwere na nyingine ni ya mafisadi

ni chama ambacho kinasamimia uminywaji wa demokrasia nchini kwa nguvu zote hata kama kuuwa watu kama ilivyotekea 2001 Zenji mwaka huu tuombe MUNGU WASIFANYE HIVYO

ccm ndio iliyofanya TANZANIA KUWA NYUMA KIELIMU HIVYO imeongeza utumwa kifikra badala ya kuupunguza.

amani ya nchi hii imeletwa na upole wa WATANZANIA hata kama wananyanyasika.

sasa baada kusaidia mapambano ya uhuru ya nchi zingine kama nchi tumefaidika na nini?
 
Hapo zamani JamiiForums ilijiita " Forum for Great Thinkers". Sijui kama bado bado inaamini katika hilo?
 
safi sana mtu wa pwani CCM DAIMA!!
59997_115120691879448_108449092546608_116349_3161421_n.jpg
 
  • Thanks
Reactions: SQL
Wewe ulinyweshwa maji ya bendera ya chama na kupumbazika.AMKA!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapo zamani JamiiForums ilijiita " Forum for Great Thinkers". Sijui kama bado bado inaamini katika hilo?


sisi ndio magreat thinkers wenyewe, ambao tulianza toka tukiita Jambo forums wala usiwe na khofu
 
rangi ya kijani mahospitalini huzungushiwa kitanda chenye maiti hapo sasa hapo cjui utasemaje.

ni kweli inaendesha serikali 2 moja ni hii ya mkwere na nyingine ni ya mafisadi

ni chama ambacho kinasamimia uminywaji wa demokrasia nchini kwa nguvu zote hata kama kuuwa watu kama ilivyotekea 2001 Zenji mwaka huu tuombe MUNGU WASIFANYE HIVYO

ccm ndio iliyofanya TANZANIA KUWA NYUMA KIELIMU HIVYO imeongeza utumwa kifikra badala ya kuupunguza.

amani ya nchi hii imeletwa na upole wa WATANZANIA hata kama wananyanyasika.

sasa baada kusaidia mapambano ya uhuru ya nchi zingine kama nchi tumefaidika na nini?


tunaendesha serikali mbili moja ya muungano na ya pili ni ya zanzibar

mauaji ya 2001 ni sababu wapinzani hasa CUF kupuuza nguvu za serikali na kuvunja amani kwa hio kuonyesha serikali zinazoongozwa na CCM sio lege lege ndio yale yalitokea

kuhusu suala la elimu hata hivi majuzi umoja wa mataifa na hata Rais Obama ameikubali Tanzania katika kupambana suala la elimu na tuzo tumepata tukiwa na serikali ya CCM


tulichopata ktk harakati za uhuru ni kutimiza ile adhma yetu ya kuwa Tanzania haiwezi kuwa huru ikiwa bado nchi nyengine haziko huru


Demokrasia imekua kwa kiasi kikubwa na ndio maana ukaona waizi wa wake za watu wanaendelea kutukana na kuzunguka bila ya kubughudhiwa
 
Mbona ccm ni chama cha dini ya kiislamu na ndiyo maana waliweka mahakama ya kadhi kwenye ilani yao.............chama gani kingine kilichowahi kuweka kwenye ilani yake kuwa kitasaidia dini fulani....................kweli watz wanazidi kudanganywa kwa maneno badala ya kuangalia matendo...........ccm na kikwete wameonesha udini kwa vitendo lkn watu wanabuni maneno ya kupotosha umma................
Siamini iwapo wana-ccm kweli ni watz
katu si chama kinachokumbatia ubepari na ubeberu

ndio chama ambacho kimewalea karibu wapinzani wote wa nchi na kuapa watakilinda mpaka kufa


ccm ndio chama pekee ambacho kina utaratibu mzuri wa kiutawala, kinabadilishana uongozi kwa njia ya demokrasia na si chama cha kikabila wala cha kidini

ni chama chenye sura ya kimuungano ambacho kina wabunge pande zote za muungano kwa kuchaguliwa na wananchi
 
Mbona ccm ni chama cha dini ya kiislamu na ndiyo maana waliweka mahakama ya kadhi kwenye ilani yao.............chama gani kingine kilichowahi kuweka kwenye ilani yake kuwa kitasaidia dini fulani....................kweli watz wanazidi kudanganywa kwa maneno badala ya kuangalia matendo...........ccm na kikwete wameonesha udini kwa vitendo lkn watu wanabuni maneno ya kupotosha umma................
Siamini iwapo wana-ccm kweli ni watz

Huyu ndiye muwamuzi ....

kura.jpg

ole wenu wanachadema mumfanyie vurugu
 
Mbona ccm ni chama cha dini ya kiislamu na ndiyo maana waliweka mahakama ya kadhi kwenye ilani yao.............chama gani kingine kilichowahi kuweka kwenye ilani yake kuwa kitasaidia dini fulani....................kweli watz wanazidi kudanganywa kwa maneno badala ya kuangalia matendo...........ccm na kikwete wameonesha udini kwa vitendo lkn watu wanabuni maneno ya kupotosha umma................
Siamini iwapo wana-ccm kweli ni watz


CCM kimeongozwa na wenyeviti wafuatao:

J K Nyerere (Mkristo)
A H Mwinyi (Muislam)
B W Mkapa (Mkristo)
J M Kikwete (Muislam)
nionyeshe chama chengine mfano wa CCM katika kubalance mambo ya udini?

suala la kadhi halikuingizwa kwa sababu ya udini na wakati huo walioandaa ilani ya chama wengi hawakuwa waislam (kama Mh Kingunge) waliona kuna umuhimu wa sehemu ya jamii wa watanzania kutekelezewa matashi yao ambao ni haki na ni sehemu ya kutekeleza imani yao. kitu ambacho CCM inaheshimu na kuthamini michango ya dini zote ktk kuimarisha amani na ustawi ktk taifa letu.

chama kingine kilichoweka ni chama cha NCCR wakati ikiongozwa na Mrema


CCM inathamini michango ya dini zote na ndio maana ukaona mwenyekiti wake anahudhuria hafla za dini zote na anapokea ushauri wa dini zote

ingelitaka CCM ingepitisha suala la Kadhi ila baada ya kusikiliza wananchi wameona waangalie utaratibu mwengine wa kuwawezesha waislamu kutimiza ndoto yao

CCM ilifuta misamaha ya kodi na ilipoenda bungeni na kusikia kilio cha wakristo iliamua kubadilisha msimamo, ni chama pekee chenye kusikiliza shida za watu
 
Ni chama kinachofuata ujamaa na kujitegea au mafisadi kukifanya ni chao?Ridhiwani na Salma wanajitegemea au wanategemea ufisadi wa baba yao?https://jamii.app/JFUserGuide CCM


nishalieleza kuwa hiki ni chama cha watanzania na hata wapinzani wameapa kukilinda mpaka kufa
 
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili

Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1976 wakati nilipokuwa JKT, tuliambiwa tuchague jina la chama kipya kitakachotokana na muungano kati ya ASP na TANU. Vikao kama vile vilifanyika na baada ya hapo tukaambiwa kuwa jina la chama litakuwa Chama Cha Mapinduzi, na mboni zake ni jembe na nyundo kuashiria kinawakilisha wakulima na wafanyakazi. Tuliamini sana chama hicho na wengine tulikuwa tayari kufa kupigania sera na maadili ya chama hicho, maadili ambayo tulikuzwa nayo na yalitekelezwa kwa vitendo.

Kwa bahati mbaya sana, nasikitika kusema, kile chama ambacho kilitulea, ambacho kilikuza na kuumba fikra zetu (ambazo ndizo zinazonifanya niandike haya,) chama hicho kimegeuzwa na watu wachache wapendao uchu wa madaraka, wanaojilimbikizia mali na kukuza usultani. Chama hicho kimegeuka kuwa jini subiani ambalo limeenda kinyume na muelekeo wa kile chama tulichokuwa tunakijua na kuanza kunyonya damu ya Watanzania. ccm (sikukosea spelling), imekuwa kama cancer itokanayo na chembechembe nzuri za mwili wa binadamu, na kugeuka chembechembe mbaya ambayo inakula mwili huo huo. Matokeo yake ni cancer ambayo tusipoiondoa mapema, hakika itatuangamiza sote.


Najua kuwa wote ambao mnaotetea cancer hii mnafaidika nayo kwa njia moja au nyingine, hamna uchungu na mamilioni ya wananchi wanaosota na kutokuwa na matumaini ya siku za mbele, kwani wao wanaishi tu bora siku ipite...wanaishi maisha kama ya wanyama. Lakini wananchi wa Tanzania sio wanyama, ni binadamu wenye akili. Kuna siku, na siku hiyo inakuja, watatwaambua wabaya wao na kuwatoa madarakani. Wabaya hao sio tu kwamba watatolewa madatakani, bali pia watawajibishwa kwa matendo yao maovu waliyowafanyia Watanzania kwa kisingizio cha CHAMA CHA MAPINDUZI kilichoanzishwa mwaka 1977.


Sijui unaishi kwa hisia za rangi, lakini kila mtu ana rangi aipendayo, au katika jamii yake, rangi hiyo inaashiria nini. Binafsi, baada ya kuona unafiki unaofanywa na ccm dhidi ya Watanzania, kila nikiona hiyo rangi ya kijani nasikia kichefuchefu. Nikifungua tovuti nikiziona hizo rangi walizovaa wakinadi uongo kwenye majukwaa, nafunga tovuto hizo haraka.


Kama una hata chembe moja ya utu, utaacha kuishabikia ccm na kuiondoa madarakani, kabla haijakuangamiza hata wewe mwenyewe!
 
katu si chama kinachokumbatia ubepari na ubeberu

ndio chama ambacho kimewalea karibu wapinzani wote wa nchi na kuapa watakilinda mpaka kufa


CCM ndio chama pekee ambacho kina utaratibu mzuri wa kiutawala, kinabadilishana uongozi kwa njia ya demokrasia na si chama cha kikabila wala cha kidini

ni chama chenye sura ya kimuungano ambacho kina wabunge pande zote za muungano kwa kuchaguliwa na wananchi

Chama kinachothamini fedha za wagombea wake wa nafasi za uongozi kuliko maadili yao, ndo maana Jambazi na muuaji wa Maalbino amepewa tiketi ya CCM kugombea ubunge jimbo la Muhambwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom