Naionya China, isijaribu

Putin popote alipo bila shaka atakuwa anjipigapiga kifuani akitubu kwa kuanzisha vita vya kipuuzi
Putin anajuta kwa alichokianzisha. Inafika kipindi anaogopa hata kusafiri kwa amani. Akitaka kwenda mahali anaenda kimagutu bila kutoa taarifa huku akiwatanguliza wana usalama wake kwanz mbele 🤣🤣🤣
 
Kwani raia wachina walisema wamechoshwa na uongozi wao?🤔
Kule vyombo vya habari havipo huru, kwahiyo hata kama wamechoka hawana pa kuongelea hilo swala na wakasikilizwa. Ndio maana wengi wa walioletwa huku Afrika wameamua kujichimbia huku ili kukwepa aina ya siasa na mfumo wa maisha uliyopo nchini kwao. Wengi wanajuta kuumbwa wachina.
 
Mtapata wapi radio za Bluetooth za elf 20 ?? Unaeza nunua JBL ya laki tano ikiwa tv enyewe unakuta unatumia aborder
Iache iporomoke kiuchumi ili isiwe na hela za kuwajaza wachina africa. wamekuwa kero kila mahali africa hawa wachina. halafu lazima walipe hasara ya kuleta siasa za kupeleka vijana vijijini, kukamata wazururaji na kujenga vyuo vya propaganda.
 
Katika Taifa la watu milioni 58 ni wazi kuwa haiwezekani kamwe kuwa na watu wenye mtazamo mmoja (wa ndiyo mzee), ni lazima kuwe na maoni na mawazo tofauti tofauti ili kulijenga Taifa letu pendwa la Tanzania katika njia iliyosahihi. Elimu pamoja na maarifa ndio uwe msingi wetu katika ujenzi wa siasa bora na maendeleo nchini.

Kwa umri wangu huu naamini Taifa hili bado lina vijana wenye nidhamu, uchapakazi na bidii pamoja na akili kubwa walizozaliwa nazo. Japo muda mwingine mfumo unawakataa kutokana na sababu mbalimbali.

Inanisikitisha mno kuona baadhi ya vijana badala ya kuwa Tunu kwa kutoa fikra mpya yenye kuendana na muda na kuleta maendeleo, wanajadili mambo ya ajabu na hovyo ijapojuwa uhuru wa kufanya hivyo wanao.

Nakupa hongera kwa kuwa na mtazamo ambao naamini kwa yakini kabisa kuwa unatamani kuona Taifa likiendelea, Kongole kwako. Tunaweza kutofautiana katika imani na falsafa zetu, hilo halisababishi uadui Blaina yetu kiasi cha kufedheheshana au kutukanana.
 
Sisi tunaishi kwenye jalala la dunia...
 
Well said
 
Putin anajuta kwa alichokianzisha. Inafika kipindi anaogopa hata kusafiri kwa amani. Akitaka kwenda mahali anaenda kimagutu bila kutoa taarifa huku akiwatanguliza wana usalama wake kwanz mbele 🤣🤣🤣
Ungeshuhudia msafara wa ndege pamoja na magari Ta usalama yanayo sidikiza gari la Rais wa Merikani awapo safarini kuzuru mataifa megine wala usinge shangaa idadi ya body gaurds na magari yanayo mlinda Putin.
 
Nakupongeza mkuu. Maana Ni Kama upo ndani ya fikra na akili zangu . Kwa 100% Umeiongelea mawazo yangu pia kuanzia mwanzo mpaka Mwisho ulipo hitimisha.

- Ni kweli kabisa mkuu utofauti wa itikadi usitufanye tusipeane nafasi za kusikilizana kwa ajili ya manufaa ya taifa hili ndio maana hata Mimi Ni mpenzi wa falsafa za kijamaa lakini katu siwezi kutokumsikiliza na kumtilia maanani mtu eti kisa yeye ni mpenzi wa falsafa za kibepari la hasha sipo hivyo ndio maana napenda kuona taifa letu lisijengwe katika misingi ya kwamba ni taifa la kijamaa 100% au taifa la kibepari 100% hapana tunapaswa kufungua mlango kwa yote yenye faida tu yapatikanayo ndani ya ujamaa kuingia nchini kwetu na kujenga nchi yetu vivo hivyo tunapaswa kufungua mlango kwa yote yenye faida yaliyo ya kipebari kuingia nchini kwetu na kujenga nchi yetu . Kwa kuwa kiukweli kabisa sisi Kama TANZANIA tumechelewa tena tumechelewa Sana tupo nyuma kweli kweli kimaendeleo wakati matifa ya Asia ya mbali na mataifa ya magharibi yapo mbali kimaendeleo sisi bado tupo nyuma ni Kama wao tayari Ni watu wazima katika maendeleo Ila sisi ndio kwanza tumezaliwa kimaendeleo hata hatua za kuanza kutambaa kimaendeleo hatujaanza hivyo yatupasa kuwakimbilia wao walipo kadili tuwezavyo . Tunahitaji kuwa na kizazi Cha vijana shupavu na wenye kujitambua na sio mradi tuna vijana , vijana shupavu na wenye kujitambua ni mtaji tosha wa kufufua uchumi wetu na kuukuza na pia ndio kichocheo cha mabadiliko nchini.

- Taifa letu lina vijana wengi Sana hilo halipingiki lakini je tujiulize je hao vijana Ni vijana wenye faida kwa taifa ? Ni vijana wenye kujitambua na kujua jukumu lao kwa TANZANIA Ni lipi? Au ndio tunavijana wengi lakini Ni wajinga, wapumbavu, washenzi, wahitimu badala ya wasomi , wanaowaza umbea kuliko Mambo ya msingi , walioendekeza ngono, wasiojikita na kujishughulisha na Mambo ya msingi Ila ni watu wanaopenda kufuatilia na kuyapa nafasi Mambo ya kijinga na ya kipumbavu yanayo tokea katika Taifa letu Ila mambo ya msingi wao kujishughulisha nayo ni ukoma, vijana waliojikatia tamaa kimaisha.

- Taifa letu linahitaji vijana walio na afya ya akili wenye kujitambua na kujua Tanzania inahitaji nini kufanyiwa na sio kuiacha inaendelea kuzama hivi hivi taratibu kuliko kuinuka na kukimbizana na waasia ya mbali na wamagharibi.
 
Hawa waliokuja Afrika wamekuja kutengeneza pesa na sio kwamba wamekimbia serikali yao huko China.
 
Hawa waliokuja Afrika wamekuja kutengeneza pesa na sio kwamba wamekimbia serikali yao huko China.
Ya wanaweza kuwa wamekuja kutengeneza pesa, lkn pia kuwa huru katika kufanya maamuzi ya maisha yao kwa njia ya uhuru. Kwa mfano hawa pichan wakija Afrika au wakienda ktk nchi yoyote nje ya China watakuwa na hamu ya kurudi tena nchini kwao?
 

Attachments

  • images (36).jpeg
    36.1 KB · Views: 18
  • images (34).jpeg
    41.7 KB · Views: 18
  • images (14).jpeg
    38.2 KB · Views: 20
Ha ha eti India wako vizuri kijeshi kuliko China? Hii Ni miujiza mkuu.
Wachina ndege Vita zao advanced Sana ukiachana na J 20 stealth fighterjet jet Bado wanabase Sana na wanna idadai kubwa ya Russian class of flankers Su 35 na linceced produced J17 ambayo Ni modernized Russian su 27.
India wamerely kwenye Russian class of flankers Aina ya Su 30 MKI flankers.
Ukiachana na su 30Mki India wanna Russian mig 29 za kutosha.
Kiuwezo Ni karibu wanalingans na pengine China iko juu coz kwa siku za karibuni wamekua wakijitengenezea makombora na ndege zao advanced kushindana na Superior Russian na America military technologies.
Eg
Chinese stealth fighterjet J 20
Chinese dongfeng missiles.
Chinese made helicopters Nk.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…