Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 505
- 1,260
Mataifa duni ndo yapi hayo?,Mimi Hitler nimemchukulia PhD. Nina mikanda kadhaa ya documentary zake, machapisho ya wanazuoni kadhaa kumhusu yeye na washirika wake wakuu katika chama cha NAZI na kundi la SS kina Albert Speer, Josef Goebbels, Heinrich Himmler, etc. Kitabu chake cha Mein Kampf.
Nimechambua mazingira yaliyomuwezesha kuingia madarakani kidemokrasia na kutengeneza utawala wa kidikteta kwa kutumia demokrasia ile ile iliyokuwepo Ujerumani. Chuki yake dhidi ya Wayahudi na mataifa mengine (duni) na majawabu ya ajabu “kiwendawazimu” aliyokuwa akiamua. Kuna kingine tena?
Kwahiyo unakubali utawala wake ulikuwa wa kidikteta sasa nikuulize alikuwa ni dikteta wa kupayuka bila vitendo?