Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,940
- 7,226
Serikali ikikopa huduma zako. Uwe mpole, utafilisika na makabrasha, kulikuwa na mambo ya pembejeo na mashamba darasa, watu walikopwa huko Magu akaingia madarakani, akajidai kuhakiki madeni. Hawajalipwa, wamefilisika, wamepata stroke, visukari!
Sikopeshi serikali NEVER labda niwe mwenyewe waziri kwenye hiyo Wizara yenye tenda!
Sikopeshi serikali NEVER labda niwe mwenyewe waziri kwenye hiyo Wizara yenye tenda!