Naibu Waziri wa Habari hajui kama kuna waandishi walikamatwa jana. Si ajiuzulu tu huyu?

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Leo Bungeni ambapo Mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA
Devotha Minja anauliza ''serikali inasemaje kuhusu watu wanaozuia waandishi wa habari kufanya kazi zao mfano tukio ambalo limetokea jana Jijini Arusha?''

Naibu Waziri wa Habari anajibu ''Mimi ndio kwanza ninasikia kama kuna watu wanazuia wanahabari kufanya kazi yao nijulishwe ili tuone hatua za kuchukua"

My take: Naibu Waziri mwenye dhamana ya waandishi, hajui kama kuna waandishi walikamatwa jana. Si ajiuzulu tu huyu?
 
Hawa huwa hawawezi kujua hadi yawakute ndipo ufahamu huwarejea. Kwani mheshimiwa Adam Malima alijua kuwa kuna wakili anaitwa Kibatala?

Leo Bungeni ambapo Mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA
Devotha Minja anauliza ''serikali inasemaje kuhusu watu wanaozuia waandishi wa habari kufanya kazi zao mfano tukio ambalo limetokea jana Jijini Arusha?''

Naibu Waziri wa Habari anajibu ''Mimi ndio kwanza ninasikia kama kuna watu wanazuia wanahabari kufanya kazi yao nijulishwe ili tuone hatua za kuchukua"

My take: Naibu Waziri mwenye dhamana ya waandishi, hajui kama kuna waandishi walikamatwa jana. Si ajiuzulu tu huyu?
 
Wale waliomfungia makonda waje wawafungie na polisi kama kweli walikua hawaendeshi na mihemko.
 
Leo Bungeni ambapo Mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA
Devotha Minja anauliza ''serikali inasemaje kuhusu watu wanaozuia waandishi wa habari kufanya kazi zao mfano tukio ambalo limetokea jana Jijini Arusha?''

Naibu Waziri wa Habari anajibu ''Mimi ndio kwanza ninasikia kama kuna watu wanazuia wanahabari kufanya kazi yao nijulishwe ili tuone hatua za kuchukua"

My take: Naibu Waziri mwenye dhamana ya waandishi, hajui kama kuna waandishi walikamatwa jana. Si ajiuzulu tu huyu?
Hao Waandishi wana digrii au ni wale wanaojiita Waandishi kwa kushika peni na kamera ambao hata usafiri huwa hawana wanavizia lift za wenye tukio au kuvizia lift za magari ya polisi
 
Hivi siku hizi waziri mwenye dhamana na habari vilevile ndiye personal body-guard wa waandishi wa habari nchini kote? Seriously? Hakika Tanzania bado kuna millions of milestones ahead to get there!
 
Hao Waandishi wana digrii au ni wale wanaojiita Waandishi kwa kushika peni na kamera ambao hata usafiri huwa hawana wanavizia lift za wenye tukio au kuvizia lift za magari ya polisi
Uwe unaficha upumbavu wako kwani waandishi wa habari jana nyie mliwapeleka hapo walipokuwa?
 
Hao Waandishi wana digrii au ni wale wanaojiita Waandishi kwa kushika peni na kamera ambao hata usafiri huwa hawana wanavizia lift za wenye tukio au kuvizia lift za magari ya polisi
Kumbe waandishi inatakiwa degree! Ila ukuu wa mkoa hata zero(bashite) anafaa!
Only TZ
 
Sio kosa lake wengi wao sahivi wanafanya kazi kwa kuhofia vibarua vyao.! akijichanganya kwenye majibu anatumbuliwa faster huku akisubir kupangiwa kazi nyingine...
 
Uwe unaficha upumbavu wako kwani waandishi wa habari jana nyie mliwapeleka hapo walipokuwa?
Walidandia lift kwenda kurudi wakawa hawana ikabidi wapewe lift wakashushwa kituoni ili kila mtu aendelee na safari zake. Hata wewe ukiomba lift au hata usipoomba lakini wakikukuta unasubiri usafiri wakakwambia tunaweza kukupa lift ukikubali watakushusha kituo cha polisi ambapo huwa wanapaki
 
ajihuzulu kwa kipi?? mbona baraza lao halijasema kitu ...mi naona poa tuu ni jukumu la chama cha waandishi wa habari kumpelekea taarifa lakini wameuchuna kimyaaa....watasubiri saana
 
ajihuzulu kwa kipi?? mbona baraza lao halijasema kitu ...mi naona poa tuu ni jukumu la chama cha waandishi wa habari kumpelekea taarifa lakini wameuchuna kimyaaa....watasubiri saana
Mleta Mada anafikiri kazi Ya waziri ni kutegemea taarifa za mitandaoni na magazeti kama ambavyo wabunge wa chadema hutegemea
 
Hivi siku hizi waziri mwenye dhamana na habari vilevile ndiye personal body-guard wa waandishi wa habari nchini kote? Seriously? Hakika Tanzania bado kuna millions of milestones ahead to get there!
If at all we shall get there.
 
Binadamu wa kwanza(toleo la kwanza la binadamu wa majaribio) alikuwa mtu mweusi na aliishi Afrika.
 
Back
Top Bottom