Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Ndiyo Sugu wa CHADEMA juzi ndiyo ametoa hayo malalamiko Bungeni na reference akaitaja Hospitali ya Meta,Da! Hapo CHADEMA watasema sana kuwa bila wao serikali isingetoa hiyo tozo mbona ni hoja ya muda mrefu sana hiyo ilikuwa haijatolewa maamuzi tu.
Kazi ya wabunge wa CCM ni kusema ndiyooooo na kuabudu.