The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Ni maajabu nayashuhudia live TBC toka Bungeni Dodoma. Yapata dakika kama mbili hivi zimepita Naibu speaker katoa maagizo wabunge wote walio nje ya bunge waitwe kwa kengele kama utaratibu unavyotaka ili idadi ya wabunge ifikie matakwa ya kanuni. Hii ni baada ya baadhi ya wabunge toka upinzani kumkomalia kuwa kanuni haziruhusu kupitisha hoja ya waziri kama idadi ya wabunge haifiki nusu. Sasa ndo mbinde laendelea hapa. Ntatoa updtaes kadri ya mambo yanavyokwenda