Naibu spika apindisha kanuni tena

Naibu spika apindisha kanuni tena

Hivi Tanzania tuna kitu inayoitwa Bunge au tunaigiza tu! Kama waliomo ndani wanatumia vichwa kufuga nywele badala ya kufikiri. Ukiwa na Makinda, Ndugai, Mabumba, Werema na Lukuvi kama viongozi wakuu katika bunge utaliita hilo bunge? Just another Ze comedi and Futuhi
 
bunge linaendeshwa kwa pesa za walipa kodi,mambo ya kuhairisha bunge kila wakati ni kuzidi kupoteza pesa za watanzania,ni vyema tuendelee kuunga mkono kubana matumizi ya serikali
 
bunge linaendeshwa kwa pesa za walipa kodi,mambo ya kuhairisha bunge kila wakati ni kuzidi kupoteza pesa za watanzania,ni vyema tuendelee kuunga mkono kubana matumizi ya serikali

Hizi ni typical comment za viti maalum...kuunga mkono hoja zisizo na mashiko ili bunge liairishwe wakavinjari.
 
Back
Top Bottom