Wewe umeguswa wapi? Au hujui kazi ya Katibu ni niniHarakati zote hizo yeye hata hajaguswa na vyombo vya dola. Mpinzani kweli huyu? Haendi KISUTU huyu?
Waliobaki wote naona wanampigania lissu badala yeye
Basi hafai chama hicho, arudi ccmHapendi siasa za kipumbavu kama za wenzake. Ana speech zimetulia sana, ndhani alifundwa na Mbowe. Hata Boni yai pia.
Wale machokoraa wengine ndio hawana adabu