sasa mkuu kama hujampa grmu, sisi tutajuaje sababu, unazo mwenyewe then unauliza, dah!!Salaam!
Najiuliza sana jamani kila nikiraise issue ambayo naona ni yakudiscuss kimahusiano najiwa juuu nasusiwa!ila sijampa game wiki sasa? Je hio ndo sababu au ndo sina changu hapo?wadau naomba mawazo yenu
Salaam!
Najiuliza sana jamani kila nikiraise issue ambayo naona ni yakudiscuss kimahusiano najiwa juuu nasusiwa!ila sijampa game wiki sasa? Je hio ndo sababu au ndo sina changu hapo?wadau naomba mawazo yenu
Wewe huibii?
muulize shida nn?
Yupo humu ndani ya jf,kama yupo nipe ID yake nimuulize why akutende bwana kha!Salaam!
Najiuliza sana jamani kila nikiraise issue ambayo naona ni yakudiscuss kimahusiano najiwa juuu nasusiwa!ila sijampa game wiki sasa? Je hio ndo sababu au ndo sina changu hapo?wadau naomba mawazo yenu
Yupo humu ndani ya jf,kama yupo nipe ID yake nimuulize why akutende bwana kha!
mmh! We ndio mshenga wake nini!
Ni ke!Wewe ni ke au me?
Kama wewe ni me, huibiwi ila unasaidiwa tu.