The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,427
Wapi naweza kupata Vindama vya mbuzi kama 20 na kwa bei gani?
Nataka niweke shambani kwangu
Mimi nipo dar.
Nataka niweke shambani kwangu
Mimi nipo dar.
Yupo wapi huyu nikamtembeleeSafi sana Evelyn Salt
Ruvu kwa wamasaiWapi naweza kupata Vindama vya mbuzi kama 20 na kwa bei gani?
Nataka niweke shambani kwangu
Mimi nipo dar.
Ngoja atakupa mwongozo, hii kitu kama inaanza niingia akilini🤔Yupo wapi huyu nikamtembelee
MsataShamba lipo wapi
Very Clear information20 x 50,000= 1M
Breed --sanen with good health
Age ---3 months
Location --classified
Kwanini more than 14 acres and not less than that ?Kwa watu wenye more than 14 acres hii ya mbuzi ni bonge la idea kama unatarget return ya 1M+ TZS profit kwa mwezi. Kama una taarifa za kutosha + kuhusu huu mradi. Business plan yangu nimeificha sandukuni nikipata kibunda najitosa.
Ni 14+ acres kwa sababu hiyo ndo ardhi inayoweza kuaccomodate the desired number of animals for one to maintain the constant ROI iliyotajwa hapo juu. Kama kuanza unaweza anzia hata kwenye 2 acres wakati unatafuta parent stock itakayotosha kuanzishia project inayohitaji 14+ acres .Kwanini more than 14 acres and not less than that ?
I think at the beginning you have to start with little you have, then you can grow slowly
-Mbuzi wadogo ila tayari wanakula majani bei kati ya 40k mpaka 60kWapi naweza kupata Vindama vya mbuzi kama 20 na kwa bei gani?
Nataka niweke shambani kwangu
Mimi nipo dar.
Safi sana-Mbuzi wadogo ila tayari wanakula majani bei kati ya 40k mpaka 60k
-Huwezi wapata kwa mfugaji mmoja wote
-Gharama za ziada kama usafiri wa kukusanya mbuzi kwa huku nilipo ujiandae na 20k
-Kibali cha kusafirisha mbuzi mmoja ni 3500(muhimu kuwa nacho, barabarani mambo ni mengi)
-Barua ya mwenyekiti 5000
Location Morogoro
Na kibali cha Tanroad, kibali cha miguu.-Mbuzi wadogo ila tayari wanakula majani bei kati ya 40k mpaka 60k
-Huwezi wapata kwa mfugaji mmoja wote
-Gharama za ziada kama usafiri wa kukusanya mbuzi kwa huku nilipo ujiandae na 20k
-Kibali cha kusafirisha mbuzi mmoja ni 3500(muhimu kuwa nacho, barabarani mambo ni mengi)
-Barua ya mwenyekiti 5000
Location Morogoro
Nimemaanisha ushuru wa mbuzi. Kuonesha mahali wametoka na ni njia ipi watapita mpaka kufika huko waendapoNa kibali cha Tanroad, kibali cha miguu.
Morogoro maeneo gan unapatika boss-Mbuzi wadogo ila tayari wanakula majani bei kati ya 40k mpaka 60k
-Huwezi wapata kwa mfugaji mmoja wote
-Gharama za ziada kama usafiri wa kukusanya mbuzi kwa huku nilipo ujiandae na 20k
-Kibali cha kusafirisha mbuzi mmoja ni 3500(muhimu kuwa nacho, barabarani mambo ni mengi)
-Barua ya mwenyekiti 5000
Location Morogoro