Nahitaji vidonge vya kuongeza ashki

Nahitaji vidonge vya kuongeza ashki

Edmund

Senior Member
Joined
Jul 17, 2009
Posts
123
Reaction score
62
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwani mwaka wa 10 sasa sina hamu na watu wa jinsia nyingine (wanawake). Niliachana nao rasmi tangia muda huo kwani kila nikiwavutia room nakosa kabisa hata hamu ya kuwanyonya wala kutomasana.

Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.

Naleta mada hii kweni kwa kuwa sasa najiaandaa kuoa (nadhani 2011), naomba mnisadie kupata hivyo vidonge kama vipo au hata tiba mbadala ikiwezekana kwa lengo la kunitoa AIBU.


Wasalaam mdau mwenzenu.
 
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwani mwaka wa 10 sasa sina hamu na watu wa jinsia nyingine (wanawake). Niliachana nao rasmi tangia muda huo kwani kila nikiwavutia room nakosa kabisa hata hamu ya kuwanyonya wala kutomasana.

Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.

Naleta mada hii kweni kwa kuwa sasa najiaandaa kuoa (nadhani 2011), naomba mnisadie kupata hivyo vidonge kama vipo au hata tiba mbadala ikiwezekana kwa lengo la kunitoa AIBU.


Wasalaam mdau mwenzenu.


Kichwa cha habari ni tofauti na msaada unahoitaji!

Nenda kawaone washauri nasaha kwanza - Kama miaka 10 hujawahi kukutana kimwili na mwanamke definitely HUITAJI KUOA - Unaweza kuwa towashi and that is it!
 
Edmund unadai umeachana na mambo ya wanawake 10 years past..:confused2:
Kwa hiyo huwa .mlingoti hau-stand? ama ni hamu tu haikuji?
1. Kula vyakula vya kuongeza hamu wanadai ufuta,karanga,pweza, ngisi,watu wa Pwani wanaweza kukusaidia ..
Vidonge nadhani vina madhara makubwa baadae..
 
Duh kweli kuwa uyaone!sasa miaka 10,huna hamu ya kuwa na mwanamke,unapata hamu ya kuoa kutoka wapi kaka?umelazimishwa kuoa?Ebu tueleze hasa tatizo lako tujue tiba mbadala au kajogoo bamia nn?
 
what is the diff btwn haustand na hamu haikuji my dia FL1
 
Duh kweli kuwa uyaone!sasa miaka 10,huna hamu ya kuwa na mwanamke,unapata hamu ya kuoa kutoka wapi kaka?umelazimishwa kuoa?Ebu tueleze hasa tatizo lako tujue tiba mbadala au kajogoo bamia nn?
hapo thatha, itakuwa kalazimishwa tu huyu lol! kwanza una miaka mingapi Edmund?:A S 39:
 
Sasa miaka kumi yote hiyo ndugu yangu halafu ukakaa kimnya?kwani mshedede uko fiti?au ni nyege tu unakosa?fafanua.
 
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwani mwaka wa 10 sasa sina hamu na watu wa jinsia nyingine (wanawake). Niliachana nao rasmi tangia muda huo kwani kila nikiwavutia room nakosa kabisa hata hamu ya kuwanyonya wala kutomasana.

Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.

Naleta mada hii kweni kwa kuwa sasa najiaandaa kuoa (nadhani 2011), naomba mnisadie kupata hivyo vidonge kama vipo au hata tiba mbadala ikiwezekana kwa lengo la kunitoa AIBU.


Wasalaam mdau mwenzenu.

Wakati mmnafikiria kuachana na maswala ya kumega wewe ndo kwanza unataka bora ujibakie hivyo hivyo kumega bana hasara ni nyingi kuliko faida ya kumega.
 
Du hii kali. Halafu unataka kuoa? Huduma utaitoaje kama huna matamanio na hakidumu au? Yaani hebu eleza vizuri, ni kuwa hutamani kabisa? Ni kuwa husimamishi? Kwa sababau ni lazima utamani na kuwa na hisia ndipo chama kinadumu. Kwa mantiki hii na kwa maelezo yako inaelekea chama haikudumu tena?? Au kuna mwanamke ulimtapeili huko nyuma akaamua kuondoka na mali yake? Hayo mambo yapo aise. jitafakari kwanza!!
 
Wakati mmnafikiria kuachana na maswala ya kumega wewe ndo kwanza unataka bora ujibakie hivyo hivyo kumega bana hasara ni nyingi kuliko faida ya kumega.
mshauri mwenzi ili naye apate starehe ya paradiso ya duniani jamani
 
Unaujua Mkuyati...?!!!:glasses-nerdy:...ikishindwa hiyo.. walahmushkeli yako itakuwa kuba sana!!
 
Edmund unadai umeachana na mambo ya wanawake 10 years past..:confused2:
Kwa hiyo huwa .mlingoti hau-stand? ama ni hamu tu haikuji?
1. Kula vyakula vya kuongeza hamu wanadai ufuta,karanga,pweza, ngisi,watu wa Pwani wanaweza kukusaidia ..
Vidonge nadhani vina madhara makubwa baadae..

nashukuru kwa kunishauri ndugu, naahidi kuufanyia kazi USHAURI wako.
 
Duh kweli kuwa uyaone!sasa miaka 10,huna hamu ya kuwa na mwanamke,unapata hamu ya kuoa kutoka wapi kaka?umelazimishwa kuoa?Ebu tueleze hasa tatizo lako tujue tiba mbadala au kajogoo bamia nn?

ni kwamba nimepoteza hamu tu ya tendo lenyewe la ndoa lakini mambo mengine yote yapo poa kabisa.
 
Be serious Edmund familia ipi utayojenga wakati hamu ya tendo huna?haya ni maisha usipende kuiga labda kwakuwa wengine wanoa na ww ufanye hiyo,si lazima watu wote waoe/waolewe na si kosa kutofanya hivyo,I guess unatatizo kubwa zaidi ya hilo,nenda kacheki na wataaalamu wa ubongo.:thumb:
nahitaji kujenga FAMILIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom