Jamani wana JF naomba mnisaidie kwani mwaka wa 10 sasa sina hamu na watu wa jinsia nyingine (wanawake). Niliachana nao rasmi tangia muda huo kwani kila nikiwavutia room nakosa kabisa hata hamu ya kuwanyonya wala kutomasana.
Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.
Naleta mada hii kweni kwa kuwa sasa najiaandaa kuoa (nadhani 2011), naomba mnisadie kupata hivyo vidonge kama vipo au hata tiba mbadala ikiwezekana kwa lengo la kunitoa AIBU.
Wasalaam mdau mwenzenu.
Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.
Naleta mada hii kweni kwa kuwa sasa najiaandaa kuoa (nadhani 2011), naomba mnisadie kupata hivyo vidonge kama vipo au hata tiba mbadala ikiwezekana kwa lengo la kunitoa AIBU.
Wasalaam mdau mwenzenu.