Msaada, kufahamu utaratibu wa kuingiza viuatilifu kutoka nje ya nchi

Msaada, kufahamu utaratibu wa kuingiza viuatilifu kutoka nje ya nchi

Bexb

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
736
Reaction score
1,652
Habari ya wakati huu wakuu. Naomba kuuliza utaratibu wa kuingiza viuatilifu yaani madawa ya kilimo kutoka nje ya nchi. Ninataka kujua mamlaka na vibali vinavyohitajika kabla ya kuleta bidhaa hizo
 
Wizara Ya Viwanda Anzia Hapo
Japo Nchi Nyingine Huombwi Chochote Zaidi Utalipia Pesa Kulingana Na Vibari
Tanzania Uvae Shati La Mikono Mirefu
 
Back
Top Bottom