Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Wewe ni Pimbi.Kama ulikubaliana naye awe na huyo mzee huku ukijua basi wewe ni kiazi huhitaji ushauri wowote zaidi ya kutukanwa
 
Mmmh mbona kama leo Wanaume zamu yetu kuzalilishana!!! Like seriously kabisa nakaa pembeni demu wangu yule pale namuona na Kizeee.
Jamani jamani Uuuuuuuwwiiiiiii. .Mola aniepushe mana kitakacho tokea report ya Ma Dr's ndio itaeleza huyo marehem amekufaje.
 
Asante Kaka kwa ushauri. Safari hii nitajitaidi kuukabili huu mtihani
 
watoto walivyo wengi mkuu unahangaika na mmoja mzee?......ila unachokosea kimoja unampigaje mwanamke??? assume mshua wako angekua anampiga mama yako ungejisikiaje? mwanamke ni kama mama yako mmeshindwana move on acha ubondia unaweza kuja kuua
Nimekuelewa Bro. Nashukuru sana kwa ushauri
 
At average mmeachana na kuriadiana Mara moja kila moja kwa kila mwezi
 
Mkuu unatafuta kifo tu... Songa mbele piga moyo konde mwezi tu unamsahau na usiwe unapasha kiporo...
Nitajitaidi japo kipindi kile ulipita mwezi lakini hisia zikarudi za kumkumbuka, nitajitaidi kipindi hiki mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…