hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,622
- 74,007
hahaaa"" anaitwa Samantha ..hata mimi nimeweka oder analetwa mwezi wa 6 mkuuMim siji kuoa, ni puli tu...kuna limdori nimeagiza china kbs
hahaaa"" anaitwa Samantha ..hata mimi nimeweka oder analetwa mwezi wa 6 mkuuMim siji kuoa, ni puli tu...kuna limdori nimeagiza china kbs
kama hautotusikia ngoja azitakatishe pesa zako kwanza "" atakufilisi huyo mpka ubaki na nguo 2 tu "" kisha atakuachia manyoyaKweli kabisa Bro, nimefail wala Hakuna ubishi, ndio maan nimekuja kwenu mnisaidie kimawazo
hahaaaa....Akuchezeee wapi kujiendekeza tu. Kila ukikumbuka anavokunyonya mapumbu hayo unamuona ni boonge moja la wife material
Asante MpendwaDawa chungu ndio inatibu mkuu achana nae kubali maumivu ya leo ili ufurahi maisha yajayo
Asante kwa ushauriJombaaa bila shaka huyo mwanamke utakuwa ulimuokota Villar Park (nipo Mwanza right now) na hakuna penzi la club lililowahi kudumu...wanawake wengi wa viwanja huwa ni Machangudoa,nimeshatembelea sana maeneo kama Villar Park (Mwanza),Malindi club,Club Alberto,Diamond club (Moshi-Kilimanjaro),Giraffe hotel/club,Conner bar,Mrina etc (DSM),Shivazi (Arusha) maeneo hayo hakuna mwanamke seriously wa kutengeneza nae maisha wengi ni Malaya wa kutupwa hata ukiwa unamiliki B.O.T huwezi kumridhisha!
HapanaKwel wewe zuzu,mpak saiv bado uko nae?
Hii ni kweli na wala sio simuliziNikweli au simulizi
Km nikweli skiliza moyo wako unasema nini
Asante kwa ushauri MkuuNilipoona tu umekutana nae club niliweka mashaka kidogo, simaanishi wote wanaoenda huko ni vicheche lkn... kwa jinsi ulivyojihangaisha na huyo shangingi napata ukakasi hata kukushauri maana kwa ninavyokuona bado hujajifunza kitu kwake... Any way Achana nae na anza kuhudhuria misa za kanisani ukapate mke huko
Hata mm nahisi hivyoHuyo mwanamke ni mchawi
Asante kwa ushaurinmesoma stor yako vzr,pole sana kaka,ushauri wang achana nae..!
AsanteKaka mgeni....
Kaza moyo....
Kuna mawili......
Moja...pengine Ana kitu kichwani kinamvuruga...kinamsumbua....
Kitafute ukijue...au jiangalie wewe pia huchangii yeye kuwa hivyo japo pasipo kujua?
La pili...kama una hakika hana tatizo ni tabia tu basi ..huyo humuwezi ni mpaka aamue mwenyewe kutulia!
Sasa amua kumsubiri abadilike au ku move....