Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Kaka mgeni....
Kaza moyo....
Kuna mawili......
Moja...pengine Ana kitu kichwani kinamvuruga...kinamsumbua....
Kitafute ukijue...au jiangalie wewe pia huchangii yeye kuwa hivyo japo pasipo kujua?
La pili...kama una hakika hana tatizo ni tabia tu basi ..huyo humuwezi ni mpaka aamue mwenyewe kutulia!
Sasa amua kumsubiri abadilike au ku move....
 
Kweli kabisa Bro, nimefail wala Hakuna ubishi, ndio maan nimekuja kwenu mnisaidie kimawazo
kama hautotusikia ngoja azitakatishe pesa zako kwanza "" atakufilisi huyo mpka ubaki na nguo 2 tu "" kisha atakuachia manyoya
 
kwanza itakuwaje ujiweze Kiuchumi halafu mwanamke akusumbue akili "" huo niujinga aiseee"" Sera zetu za kiume hzipo ivyo unatuangusha""
kama unakipato "" wewe ndiye unapaswa kuliliwa na mwanamke aisee
 
Mapenzi ni kama mtego wa panya, huwanasa panya wenye hatia na wasio na hatia pia, Lakini panya pamoja na udogo wao kiumbo huwa pia ni werevu sana, akikoswa na mtego kwa bahati yoyote ile iwe nzuri au mbaya hakuna namna mtego ule ule utakuja mnasa tena ukiwa sehemu ileile. Kwa maneno rahisi Panya wanajua "kuhamisha" njia zao haraka sana wanapotambua uwepo wa mtego katika njia waliyozoea..

Kuwa panya kwa muda mkuu "mtego" umekukosa huo, hama "njia" hiyo kama bado unayapenda maisha yako, tafuta njia nyingine itayokufisha unakotaka kwenda bila kuwa na hatari ya kunaswa na mtego "uleule" uliokukosa kwa bahati yoyote ile iwe mbaya au nzuri..
 
B.W.E.G.E dot com.

Usipotumia kichwa chako vizuri, utaishia pabaya!
 
Pole kwa kupenda usipopendwa. That's life, ila kukubali kuishi na kahaba yataka Moyo wa chuma
 
Jombaaa bila shaka huyo mwanamke utakuwa ulimuokota Villar Park (nipo Mwanza right now) na hakuna penzi la club lililowahi kudumu...wanawake wengi wa viwanja huwa ni Machangudoa,nimeshatembelea sana maeneo kama Villar Park (Mwanza),Malindi club,Club Alberto,Diamond club (Moshi-Kilimanjaro),Giraffe hotel/club,Conner bar,Mrina etc (DSM),Shivazi (Arusha) maeneo hayo hakuna mwanamke seriously wa kutengeneza nae maisha wengi ni Malaya wa kutupwa hata ukiwa unamiliki B.O.T huwezi kumridhisha!
Asante kwa ushauri
 
Nilipoona tu umekutana nae club niliweka mashaka kidogo, simaanishi wote wanaoenda huko ni vicheche lkn... kwa jinsi ulivyojihangaisha na huyo shangingi napata ukakasi hata kukushauri maana kwa ninavyokuona bado hujajifunza kitu kwake... Any way Achana nae na anza kuhudhuria misa za kanisani ukapate mke huko
Asante kwa ushauri Mkuu
 
Kaka mgeni....
Kaza moyo....
Kuna mawili......
Moja...pengine Ana kitu kichwani kinamvuruga...kinamsumbua....
Kitafute ukijue...au jiangalie wewe pia huchangii yeye kuwa hivyo japo pasipo kujua?
La pili...kama una hakika hana tatizo ni tabia tu basi ..huyo humuwezi ni mpaka aamue mwenyewe kutulia!
Sasa amua kumsubiri abadilike au ku move....
Asante
 
Wanawke wengi tena wenye tabia nzuri achana nae tu
Kazoea ukahaba hawezi badilika mzee kaka
 
Back
Top Bottom