rubani ni mlala hoi?miaka yote alikuwa na huyo kaka sasa wameachana anaogopa mapenzi. yani nipo njia panda
kweli unatisha ni pm basi kama huyo dada anazingua?jamaa hakuwa vizuri kifedha kama mimi, yaaani mimi naingia kwake mara 10
We wa ajabu...unajaribukumpata kwa kumchafua mwenzio...wanaume hatufanyagi hivo....we ulikuwa mzembe tu kumuambia ....na hata kama unajua ana mtu we ingia kivyako bila huyo mtu kumtaja
nimekutumia na picha kabisahaya twende kazi
Mkuu atanisaidiajeMtafute huyu jamaa anayeitwa Bajeti ya kunguru .
Kila kitu kitakwenda sawa
kaka embu funguka huyo anakuchukulia kama rafiki tuu achana nae ipo siku atakuja na mastress yake akija mto$&@" usirembe, ila kwa kuwa wife hapo futa, utasubiri sana... nishakutana na story kama zako, atakucheleweshea mambo yako ya msingi mfute kbsa kichwani na hata ukiongea nae muoneshe tuu kama ye wa kawaida tu