Nahitaji unlimited internet

Nahitaji unlimited internet

wakwetu05

Member
Joined
Mar 28, 2025
Posts
75
Reaction score
124
Nawasalimia kwajina la jamhuri

Naomba kuuliza ivi sipati W-Fi ambayo ni unlimited kwa wastani wakama 30,000 kwa mwezi..?
kama ipo bas naomba msaada wa namna yakuipata maana hizi za 70,000 kwamwezi siziwezi
hata ikiwa ni 50,000 kwamwezi sio mbaya
 
Hakuna hakuna hakuna...

Nasemaje hakunaaaaaaa hakunaaaaaa

Wewe hakunaaaaaaaaa...
Hakunaaaaa

Akitokea mtu hapa ujue ni muongo mybe awe na mnala
 
55K unapata fibre ya Tigo na Ttcl

Ila Ttcl uwe mvumilivu.
 
Mie natumia router ya Halotel. Elfu 50 kwa mwezi unlimited. Ipo vizuri tu. Tena raha router hata ukitoka unabeba fresh
 
Back
Top Bottom