ADAM MILLINGA
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 117
- 13
Mimi nina mdogo wangu alikua anafanya kazi katika campuni ya sports betting sasa akawa ameingia tamaa ya kucheza yeye mwenyewe hadi akafikia milioni 20 akakimbia lakini mdhamini wake ni mama angu je sheria inasemaje kwa hili