Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Wakuu baada ya utafiti kidogo, nimeamua kuwa na chombo cha kilimo na wengi wamenishauri nichukue Massey F. sababu wanasema spare zake zipo nyingi kuliko hata Ford kwa Tanzania.
Ila sijui bei zake vs HP, wanao jua kama hamtajali kutoa details zake.
Ila sijui bei zake vs HP, wanao jua kama hamtajali kutoa details zake.