Benard kombe
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 139
- 41
nahitaji solar panel watt 100 pamoja na gharama zake.
natanguliza shukrani
natanguliza shukrani
nahitaji solar panel watt 100 pamoja na gharama zake.
natanguliza shukrani
hebu tuwekee hizo panels za watts tofauti na bei zake, hasa complete system na bei zake . nataka complete system yenye nguvu ysa 2000 wattsUnataka panel au complete system?
Uko tayari kusubiri kwa siku 28? Tunazo kutoka China. Usafiri ni meli.
Karibu.
hebu tuwekee hizo panels za watts tofauti na bei zake, hasa complete system na bei zake . nataka complete system yenye nguvu ysa 2000 watts
weka taarifa iliyo kamili hapa jukwaani mkuu wahitaji tipo wengi.... Tunataka tupelekee wazee wetu vijijini wapate mwanga na wao.... G12
| ID | Power (Watt) | Bei in USD | Dimension in cm | Remarks |
| 1 | 5,000 | 5,435 | | |
| 2 | 3,000 | 3,451 | | |
| 3 | 2,000 | 2,200 | | |
| 4. | 1,000 | 1,446 | | |
| | | | | |
| ID | Power (Watt) | Bei in USD | Dimension in cm | Remarks |
| 1 | 1,000 | 1,511 | | |
| 2 | 100 | 410 | | |
nahitaji solar panel watt 100 pamoja na gharama zake.
Natanguliza shukrani
Wadau wa Solar!
Bei ni kama ifuatavyo:
Kazi kwenu kuchagua mnachokipenda.
Note:
Mnakaribishwa.
- Part I: ni aina bora zaidi kuliko part II, uchaguzi ni wako mteja.
G12, International Co. Ltd.
| 1 | 1,000 | 1,511 |
| 4. | 1,000 | 1,446 |
amesema kunatofauti ya ubora,naona kuna fake na original!Sasa mbona 1000 watt ya part I ni rahisi kuliko II
1
1,000 1,511
4.
1,000 1,446
hiyo ya watt 180 uliyochukua yaweza kurun vitu gani!kwa matumizi ya nyumbani (jiko friji taa heater) inatosha?kama uko hapa mjini hebu tembelea pale zara solar -red cross building,corner of morogoro rd/bibititi jama nimenunua pale watt180-kama mpaka kuifunga na kila kiti jana hiyohiyo 1.5m ogopa sana kuna vifaa vingi feki vya solar hawa wanakupa guarantee ya 5yrs .
hiyo ya watt 180 uliyochukua yaweza kurun vitu gani!kwa matumizi ya nyumbani (jiko friji taa heater) inatosha?
hongera umejikomboa na huu umeme wa muongo!!ila vipi security yake vibaka hawawezi kuipandia huko juu ilikowekwa!!hii inawasha tv 24/7, heater , taa 18 blender matumizi mengi tu ya nyumbani ila pasi ,jiko wala pump hapana labda iwe yatumia umeme mdogo kabisa .inakuwa ni betri2,inverter, charger controler, na zile panel kubwa 2.yaani system nzima.iko vizuri sana
hongera umejikomboa na huu umeme wa muongo!!ila vipi security yake vibaka hawawezi kuipandia huko juu ilikowekwa!!
seen and also love this thread
amesema kunatofauti ya ubora,naona kuna fake na original!
mkuu hawa wakuwa nao makini hiyo wanayo weza kusema ndo origina wanakuuzia then wanachukua ile wanayosema wanahamishia kwenye location ya original!!wana mchezo mchafu sana!!Ndio point yangu mkuu ukiangalia vizuri bora zaidi ina bei rahisi kuliko yenye ubora wa chini ndio maana nikauliza labda amekosea