muwinge abdully
New Member
- Nov 18, 2015
- 1
- 1
Wadau habari,
Nimepata mtaji wa sh. M1.5 nafikiria niizungushe kwenye mazao makavu. Msaada kwa yeyote anaeweza kufanya biashara na mimi ili nimlangulie shambani nimletee sokoni. Mimi nipo Mahenge Ulanga. Aliye tayari tufanye biashara.
Ahsante
Nimepata mtaji wa sh. M1.5 nafikiria niizungushe kwenye mazao makavu. Msaada kwa yeyote anaeweza kufanya biashara na mimi ili nimlangulie shambani nimletee sokoni. Mimi nipo Mahenge Ulanga. Aliye tayari tufanye biashara.
Ahsante