Nahitaji small Rice Mill combined with Pulverizer

Nahitaji small Rice Mill combined with Pulverizer

Any1 interested kuunganisha nguvu kwa hii mashine?
 
Ama kweli Jf wasanii ni wengi mana wengine ngoja tutaunganisha nguvu kumbe wasanii tupu
 
Wacheki insta wajamaa wanaitwa thebridgegulio naona huwa wanauza izo mambo kutoka china.

Thanks sana kaka na nimewasiliana nao na wanaleta mawazo ya lipia sasa asilimia flani na mzigo ukifika unamalizia. Haya mambo naogopa yasije tokea mambo ya Kelvin (Tapeli) alietapeli hapa Jf kwa kisingizio toa asilimia flani sasa hivi na nyingine baadae
 
Thanks sana kaka na nimewasiliana nao na wanaleta mawazo ya lipia sasa asilimia flani na mzigo ukifika unamalizia. Haya mambo naogopa yasije tokea mambo ya Kelvin (Tapeli) alietapeli hapa Jf kwa kisingizio toa asilimia flani sasa hivi na nyingine baadae
Mkuu unajua ni ngumu sana hata kwa mimi uniambie nilete mashine halafu eti utalipia baadaye. Nafikiri wanaofanya hivyo wanataka commitment yako kwa uelewa wangu. Vipi wakileta mashine kwa gharama zao halafu wewe ukabadili mawazo unakuwa umewaingiza wao hasara unless atokee mteja mwingine. Down payment muhimu kwenye biashara nyingi. Cha muhimu kabla hujatoa downpayment hakikisha tu jamaa wana ofisi legit na muandikishane. Ila ukisubiri mtu wa kukuletea bila down payment hiyo haitakaa itokee. Option nyingine kama huwaamini wao jaribu kuagiza mwenyewe.
 
Mkuu uko sahihi sana ila what happened kwa Kelvin nadhani imetoa fundisho la kutosha mana walikua na ofisi nzuri maeneo ya Kigamboni na watu waliandikishana vizuri tu ila what happened next.... Kila mtu anajua
 
Mkuu uko sahihi sana ila what happened kwa Kelvin nadhani imetoa fundisho la kutosha mana walikua na ofisi nzuri maeneo ya Kigamboni na watu waliandikishana vizuri tu ila what happened next.... Kila mtu anajua
nafikiri ni tabia tu za watu kukosa uaminifu.
 
Back
Top Bottom