Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 693
- 807
- Thread starter
- #21
Asante kaka. Ila nipo mkoani.Nenda Mobile Plaza kuna duka linaitwa Punga phone kuna simu nzuri me nimetoka hapo juzi kuchukua Sony Xperia Z3+ ni laki 8 ina warranty ya miaka miwili
Wanaweza kuwa na matawi mikoani, hasa mwanza?