Del a boss
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 395
- 501
Chelseafc
Mungu katika Yesu Kristo ndie silaha pekee, serious kabisa nakuambia, usianze ubishi katika hili
Habari zenu member jf,nahitaji mni shauri silaha ambayo ni nzuri ya kujilinda kwasababu walishakuja kunivamia mara 4,nyumbani kwangu Bunju,n mara ya mwishu ilikuw kabla ya pasaka na siku nyingine ilikuwa mwenyewe na kunichukulia 2m,ndani ya gari,sasa nataka bastola amabayo naona ndo itakuwa dawa yao.
Mungu katika Yesu Kristo ndie silaha pekee, serious kabisa nakuambia, usianze ubishi katika hili
Mungu katika Yesu Kristo ndie silaha pekee, serious kabisa nakuambia, usianze ubishi katika hili
Mbona hata viongozi wa dini wanamiliki silaha/Bunduki ?
aliyekuambia viongozi wote wa kanisa wanamuabudu Yesu Kristo ni nani? wengine wana sanaa tu. Simama katika imani yako na itakuokoaMbona hata viongozi wa dini wanamiliki silaha/Bunduki ?
Dah,
Watu mna imani sana kwa kweli. Yaani Jamaa wanakuja na mguu wa kuku wewe unategemea neno la Yesu tu???
Hujawahi sikia linavamiwa Kanisa na Majambazi? Soma hapa Majambazi yavamia kanisa Dar
aisee duniani kuna watu wa ajabu ,unajuaje imani yake !!!mbona yesu hakuzuia zile pesa kule mbaggala na makanisa kuchomwa ???? Hivo vitu vinabase kiimani zaidi mkuula sivo haifanyi kazi,yeye anataka silaha wewe unamwambia yyesu umpe basi akae hapo mlangoni kama ni silaha!!!mungu katika yesu kristo ndie silaha pekee, serious kabisa nakuambia, usianze ubishi katika hili
refer padri evarist ,wambie hao waache utani basi zile risasa zingekuwa hewa.no such power exist ukishavamiwa nakuibiwa utasikia mwombe mungu atakupa vingine !!!ideological basedah,
watu mna imani sana kwa kweli. Yaani jamaa wanakuja na mguu wa kuku wewe unategemea neno la yesu tu???
Hujawahi sikia linavamiwa kanisa na majambazi? Soma hapa majambazi yavamia kanisa dar
example mokiwa ,hivi kwani hawa hawana yesu!!!jisaidie nami nitakusaidiambona hata viongozi wa dini wanamiliki silaha/bunduki ?
alafu jioni mnakuja kuichukua??pia tunaweza kukukodisha silaha, ila utaratibu wake ni mrefu. Ukihitaji kuynunua nena mzinga corporation. Budgewt kuanzia tzs 1m.