Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
Jamani mimi nataka nijiendeleze kielimu, kuanzia kidato cha 1 na kuendelea.
Nataka nianze kwanza na English Coure, ile English ya kuandika na kuongea kabisa kama nakunywa maji.
Ikiwa bweni au ya kutwa sawa.
mimi ni mtu mzima tayari age 20+
nisaidieni maelezo ya shule na ada zao, kama ni kutwa au bweni.
karibuni!
sitaki shule za mamilioni mie mtoto wa mswahili.
Nataka nianze kwanza na English Coure, ile English ya kuandika na kuongea kabisa kama nakunywa maji.
Ikiwa bweni au ya kutwa sawa.
mimi ni mtu mzima tayari age 20+
nisaidieni maelezo ya shule na ada zao, kama ni kutwa au bweni.
karibuni!
sitaki shule za mamilioni mie mtoto wa mswahili.