jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari ndugu zangu..
Nakuja tena mbele yenu mimi kijana wenu ambaye sijaoa kabisa na ninatafuta mke huku na huko , ila binafsi ninalist ya wanawake wa kutosha ambao sioni hata anaefaa kua mke japo kuna mmoja kateka hisia zangu ila ni mtata sana anatokea huko milima ya Arumeru -Arusha.
Ndugu zangu mimi nimekua nikisumbuliwa na kasumba hii hapa mpaka naona kama itakua kunashida mahali kwenye hisia zangu ila sijui kama ni sawa au ni ugonjwa ndugu zangu
1: Nimekua mtu wa kuthamini sana na kumuhurumia mwanamke awe binti au wa mama
2: Nimekua ni mtu naye pata amani sana moyoni napo kua nimekaa na mwanamke tukizungumza mambo ya hapa na pale au kupiga story tuu za kuondoa uchovu
3: Nikiwa na mwanamke yeyote yule nakua jasiri sana na pia nafeel ule upweke uliokua unanisumbua umeondoka kabisa
4: furaha yangu najikuta ni mwanamke tuu na siyo kitu kingine chohote kile.
5: Kiukweli napenda sana wanawake kupitiliza na nikiwaona njiani, maeneo ya kazi na kwingine kote napata amani sana moyoni
6: Nimekua ni mtu wa kushangaa sana wanawake na kuwachokoza sana bila kujali lolote baya linaweza kunikuta
7: Wanawake wakinijibu vibaya na wajibu vyema tuu na kuwatakia kilala heri, siwajibu vibaya kabisa sijui nipoje kwa kweli.
8: Mwanamke akiniomba kitu kama ninauwezo nacho siwezi mnyima kabisa, japo wengi wao hawana shukrani ila bado siwachukii
Ndugu zangu. Nahitaji kupona naombeni ushauri wenu. Nifanyaje mimi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nakuja tena mbele yenu mimi kijana wenu ambaye sijaoa kabisa na ninatafuta mke huku na huko , ila binafsi ninalist ya wanawake wa kutosha ambao sioni hata anaefaa kua mke japo kuna mmoja kateka hisia zangu ila ni mtata sana anatokea huko milima ya Arumeru -Arusha.
Ndugu zangu mimi nimekua nikisumbuliwa na kasumba hii hapa mpaka naona kama itakua kunashida mahali kwenye hisia zangu ila sijui kama ni sawa au ni ugonjwa ndugu zangu
1: Nimekua mtu wa kuthamini sana na kumuhurumia mwanamke awe binti au wa mama
2: Nimekua ni mtu naye pata amani sana moyoni napo kua nimekaa na mwanamke tukizungumza mambo ya hapa na pale au kupiga story tuu za kuondoa uchovu
3: Nikiwa na mwanamke yeyote yule nakua jasiri sana na pia nafeel ule upweke uliokua unanisumbua umeondoka kabisa
4: furaha yangu najikuta ni mwanamke tuu na siyo kitu kingine chohote kile.
5: Kiukweli napenda sana wanawake kupitiliza na nikiwaona njiani, maeneo ya kazi na kwingine kote napata amani sana moyoni
6: Nimekua ni mtu wa kushangaa sana wanawake na kuwachokoza sana bila kujali lolote baya linaweza kunikuta
7: Wanawake wakinijibu vibaya na wajibu vyema tuu na kuwatakia kilala heri, siwajibu vibaya kabisa sijui nipoje kwa kweli.
8: Mwanamke akiniomba kitu kama ninauwezo nacho siwezi mnyima kabisa, japo wengi wao hawana shukrani ila bado siwachukii
Ndugu zangu. Nahitaji kupona naombeni ushauri wenu. Nifanyaje mimi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app