Nahitaji program ipi ntengeneze game kama fifa 14

Nahitaji program ipi ntengeneze game kama fifa 14

Tafadhali nsaidien

brother sio software 1 tu inayotumika kutengeneza games like fifa, kwanza kunakua na Motion capturing ambapo player(actors) wanavaa special suits na kuanza ku act and that is later added to players in the game, then kuna animations (mostly are done with Maya), hizi ni kwa wale Fans wa nje na some characters ambao hawahitaji motion acting like mayb ref akiwa anatoa kadi and stuff, then kuna programming hapa team of programmers wanacode what happens when you press each button, the environment wana code gravity i.e mpira urespond vp ukipigwa and all other physics stuff in the game, language zina vary but mostly hua ni C plus. Other stuff ni Sounds ambazo zina software zake, backgrounds nazo zinakua designed na software zingine. Usually kila ki2 kinakua na department(team) yake like programers wao wanacode game huku animators wanaanimate and sound tech wanarecord sounds hivo hivo before compilation. Cant be done by one guy
 
mkubwa watu huwa tofauti, na kila mtu na softwares zake, ndipo huungana na kuwa ki2 kimoja yan n kama movies tu, kunakuwa wa2 kama vile,
mtu wa sound,
video HD,3Dimensional,
players movement,
pitch including weather,
player designing(aonekanaje) na wengine kibao kulingana na programming language anayotumia.
 
brother sio software 1 tu inayotumika kutengeneza games like fifa, kwanza kunakua na Motion capturing ambapo player(actors) wanavaa special suits na kuanza ku act and that is later added to players in the game, then kuna animations (mostly are done with Maya), hizi ni kwa wale Fans wa nje na some characters ambao hawahitaji motion acting like mayb ref akiwa anatoa kadi and stuff, then kuna programming hapa team of programmers wanacode what happens when you press each button, the environment wana code gravity i.e mpira urespond vp ukipigwa and all other physics stuff in the game, language zina vary but mostly hua ni C plus. Other stuff ni Sounds ambazo zina software zake, backgrounds nazo zinakua designed na software zingine. Usually kila ki2 kinakua na department(team) yake like programers wao wanacode game huku animators wanaanimate and sound tech wanarecord sounds hivo hivo before compilation. Cant be done by one guy

I second you
 
Hauwezi ukatengeneza gemu iliyo polished kama Fifa 14 peke yako kwa sababu ya skills tofauti zinazohitajika kama walivyosema wengine.

Ila unaweza kutengeneza gemu kama hiyo ambayo itakuwa less polished, unachohitaji ni Game engine, hii itatake care ya majority ya vitu vilivyotajwa na wengine hapo juu, cheki Unity 3D, basic version ni bure Unity - Game engine, tools and multiplatform. Itabidi ujifunze kuitumia na some programming (C#)
 
Tafadhali nsaidien

ila kama you like and have an interest in making games na ni newbie i.e hauna like experience and stuff achana kwanza na 3D games, anza na simple 2D ones kuna software i used 2 make simple games with a while back "3D flash animator" it was pretty easy and nice too(provided you're determinant nd have a little artistic instincts in you) baada ya kua fresh or if you're good go with "Adobe Flash CS4, CS5 au CS6 if you can ndo zilizo kwenye market. Simple tutorials YouTube and you're good to go. (hint, must be able to animate, paint and/or code for a descent looking game.(code za hapa zisikutishe, ni simple scripts tu eg kukiwa na collision nini kitokee, ukibonyeza something event hii ifanyike i did em hata kabla sijajua basis za programing) )
 
Mkuu unahitaji kusomea programming language kwanza maana kutengeza game kama Fifa yahitaji knowledge na mda wako.
 
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??
 
Last edited by a moderator:
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??
Mkuu kutengeneza game kama la Fifa linahitaji capial kwaza kwasababu ya vifaavinvyo hitaika kaa moton capture na sensors.
Kwa mfano nilikuwa na video jinsi walivyokuwa wanatengeneza gameya need for speed black carbon. Ni team kubwa na wana capture sound za really cars zikiwa kwenye race, drifting na watu wanaigiza kweli wana capture motions na facial expressions zao.
studio zao zina advanced equipments sio laptops tu. Na kwetu sisi inakuwa ngumu kwa sababu mtu mmoja anataka atengeneze kuazia grahics mpaka coding wakati hata game dogo kama zuma halikutengenezwa na mtu mmoja
 
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??
ni kama unamuuliza architect kwa nini anajua kudesign magorofa halafu yeye hana hata moja!
 
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??

Angalia thread ya leh ya gta v. Hili game limecost kama usd 250 milion. Kama bilioni 400 za kitanzania. Hii ni budget ya wizara kwa bongo, sio kitu rahisi kaka. Waandishi wa habari wanajua siasa ila hawagombanii kila siku wao wanachambua
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kutengeneza game kama la Fifa linahitaji capial kwaza kwasababu ya vifaavinvyo hitaika kaa moton capture na sensors.
Kwa mfano nilikuwa na video jinsi walivyokuwa wanatengeneza gameya need for speed black carbon. Ni team kubwa na wana capture sound za really cars zikiwa kwenye race, drifting na watu wanaigiza kweli wana capture motions na facial expressions zao.
studio zao zina advanced equipments sio laptops tu. Na kwetu sisi inakuwa ngumu kwa sababu mtu mmoja anataka atengeneze kuazia grahics mpaka coding wakati hata game dogo kama zuma halikutengenezwa na mtu mmoja
nimekubaliana na wewe 100%!!! kinachonishangaza hata kama ukisema ni capital, unatarajia utapewa 1bil kwa mkupuo?? je wewe kama wewe ushajaribu au ushatengeneza game gani afu ukakosa capital???
Ni team kubwa na wana capture sound za really cars zikiwa kwenye race, drifting na watu wanaigiza kweli wana capture motions na facial expressions zao.
unaposema timu kubwa una maanisha nini mkuu?? kama ni watu, je ni wangapi wapo tokea Tanzania inapata uhuru mpaka leo na kipindi chote hicho hiyo timu haijatimia??
Na kwetu sisi inakuwa ngumu kwa sababu mtu mmoja anataka atengeneze kuazia grahics mpaka coding wakati hata game dogo kama zuma halikutengenezwa na mtu mmoja
ni sawa, siwezi kataa!! na je hilo gemu lililotengenezwa na mtu mmoja liko wapi??? kama unaweza nipatia link walau nione itakua bora zaidi!!
sio kwamba nataka bishana na wewe/nyie, ila inasikitisha sana kuona wataalamu tunao(japo sio wa kompyuta tu) lakini mpaka leo hatugungua hata kaflash disk ka 1byte tunangojea tu wazungu watuletee na tukikesha kubisha mara huyu ni bora kushinda yule wakati hamna lolote!!!
 
Angalia thread ya leh ya gta v. Hili game limecost kama usd 250 milion. Kama bilioni 400 za kitanzania. Hii ni budget ya wizara kwa bongo, sio kitu rahisi kaka. Waandishi wa habari wanajua siasa ila hawagombanii kila siku wao wanachambua

hapo unamaanisha nini mkuu?? au nyie ndio waandishi wa habari??? mtuambie maana sioni nini kinaendelea?!
 
ni kama unamuuliza architect kwa nini anajua kudesign magorofa halafu yeye hana hata moja!
sitaki kukubishia na nnashukuru kwa mfano wako japo hauusiani hapa!! kwani kutengeneza game inahitaji degree progam ya nini au elimu/ujuzi gani?? na je hawa watu humu nchini hawapo?? au hayo masomo hayafundishwi na kama yanafundisha, inakuaje mpaka leo mambo yako kama yalivyo??
 
[/COLOR]
hapo unamaanisha nini mkuu?? au nyie ndio waandishi wa habari??? mtuambie maana sioni nini kinaendelea?!

Ninachomaanisha si kila anaejua kitu fulani anaweza kifanya, naweza nikawa naijua smartphone ndani nje hii haimaanishi naweza kuitengeneza. Kuna watu wanaujua mpira kina shafii dauda na edo kumwembe haimaanishi wanajua kucheza.

Ndio kama hao hapo juu wanajua game linatengenezwaje ila hawajui kulitengeneza
 
Ninachomaanisha si kila anaejua kitu fulani anaweza kifanya, naweza nikawa naijua smartphone ndani nje hii haimaanishi naweza kuitengeneza. Kuna watu wanaujua mpira kina shafii dauda na edo kumwembe haimaanishi wanajua kucheza.

Ndio kama hao hapo juu wanajua game linatengenezwaje ila hawajui kulitengeneza
hilo ndilo jibu mengine mbwembwe!!! naamini wataalam wa kompyuta wapo wengi sana humu nchini, lazima tukubali ukweli na tuache visingizio mara najua afu kuteneza sijui sasa mnajua nini??? maswala yakuwekea watu windows na kuformat pc i mambo yalishapitwa na hata mtoto wa la saba anaweza fanya iyo kazi, embu tuamke wakuu maana hili tatizo sio kwa wataalamu kompyuta tu na wengine pia wanahusika kila mmoja katika nafasi yake.
 
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??

Kwanza kabisa hatuna capital ya namna hiyo, Fifa probably inacost around $100 milion kuitengeneza. Pili hakuna workforce yenye skills hizo hapa Tanzania na hakuna local market pia.

Tatu, industry ya gemu ni ngumu sana kupata mafanikio, hata ningekuwa ninayo hiyo 100 million nisingeingia humo, kwa kila hit video game unayoijua kuna 1000 of games ambazo hazikutengeneza hata centi.
Na hata waliotengeneza game ikiwa hit mara nyingi they don't make it financially kwa sababu ya costs kubwa.

Midway, watengenezaji wa Mortal Combat, NBA Jam
Zipper, watengenezaji wa SOCOM Navy seals
Barking Dog- Max Payne 3
THQ - UFC Undisputed

Wote hao wako bankrupt au washakufa kabisa.
 
Waheshimiwa Good Guy, Kang na wengine kama middlebopper...maelezo yenu ni mazuri sana kiasi kwamba hata mimi nnaejua kidogo kuhusu kompyuta nimeelewa ni kwa namna gan hizi games zinatengenezwa!!! Kinachonichanganya ni kwamba inakuaje mnajua yote haya na sijawahi sikia(wenda vipo) kuna gemu au kitu kingine kimetengenezwa hapa kwetu?? Na sisi tiwe tunangojea mtoe fifa 16 au 14!! Mnaojua na tusiojua wote tunangoja wamarekani na wazungu watengeneze na sisi wote ndo tutumie!! Sasa hapa kuna tofauti gani nyie mnaojua na sie tisio jua?? Au mnangoja siri-kali iwawezeshe!??
Siiyo kwamba kwa vile wameeleza jinsi ya kutengeneza hizo game ukafikiri ni kitu rahisi.
 
Back
Top Bottom