ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 151
mkuu simaanishi game tu!!! mbona kuna mambo mengi sana ambayo ya mwimu mnaweza fanya mkaleta maendeleo kwenye nchi inayovuja!!! na huku tukitegemea kila kitu from abroad!!! inaniuma sana mtu kutoka chuo ana first class alafu yuko mtaani anafundisha twisheni ya form one!!! hapa siongelei watu wa i.t tu hata kada nyingine!!!!Hata uishi miaka 1000 hutaweza kuitengeneza! Game kama fifa ina lines of codes kama million 4 na ww huwez kuandika hata 10000 kwa mwaka mzima! Its team work and mostly improving from past versions(bug fixing) and mordezing(quality and reality)