Nahitaji pesa za moto

Nahitaji pesa za moto

5zdws9.jpg
 
Ni pm nikupe connection.

NB: Uwe tayari kutoa 10M kabla ya kazi, kama huwezi usije.
Duh,
Utamsababishia dogo presha.

Ukute hajawahi kumiliki hata 1m, wee unamwambia akupe 10m kabla ya kazi?!!
Afadhali hata ungesema baada ya kuhitimisha mchongo
 
hakuna muda wakupoteza
nahitaji pesa zachap chap .yan ndani yamuda mfupi maisha yangu yawe good.
Nahitaji wazee wa connection mnishike mkono kijana wenu

NOTE; kwenye hili niko serious zaidi ya unavyodhani
Hizo ulizo nazo zitie kiberiti zitakuwa za moto
 
Haya mambo yasikietu. Usiombe yakufike. Kunajamaa alipata Hela ila kila alhamisi alikua anapata kifafa akijiharishia anaamka na mpambano wa kuzisaka note unaendelea
 
hakuna muda wakupoteza
nahitaji pesa zachap chap .yan ndani yamuda mfupi maisha yangu yawe good.
Nahitaji wazee wa connection mnishike mkono kijana wenu

NOTE; kwenye hili niko serious zaidi ya unavyodhani
Connection ninayo.nicheck
 
Kuna jamaa hapa mtaani alinambia wazo kama lako, then akampata mtu toka Malawi kama sikosei sehemu moja inaitwa Chitipa, msela akajikusanya akatimba huko ilikuwa kama February ivi, kaenda karudi we' sasa ivi mambo yake ni "Mtibwa" lkn ndo ivo hatoi code ukimuuliza yeye anakwambia tafuta 1m nikupeleke.....
 
hakuna muda wakupoteza
nahitaji pesa zachap chap .yan ndani yamuda mfupi maisha yangu yawe good.
Nahitaji wazee wa connection mnishike mkono kijana wenu

NOTE; kwenye hili niko serious zaidi ya unavyodhani
hahhhahahaahahahahah fala wewe
 
Back
Top Bottom