Nahitaji notice za sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,167
11,489
Wadau wapi naweza kupata notice za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulingana na mtahala (syllabus) za wizara ya elimu Tanzania.

Wapi naweza kuzipakua (download) kwa ajili ya vijana wetu? Wengi wetu tunaweza kuwa na changamoto ya hili jambo maana unaweza ukawa na kijana akataka kwenda spidi (ahead) ya mwalimu kwa ufanisi zaidi.
 
Wadau wapi naweza kupata notice za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulingana na mtahala (syllabus) za wizara ya elimu Tanzania.

Wapi naweza kuzipakua (download) kwa ajili ya vijana wetu? Wengi wetu tunaweza kuwa na changamoto ya hili jambo maana unaweza ukawa na kijana akataka kwenda spidi (ahead) ya mwalimu kwa ufanisi zaidi.
Hiyo h inatafuta nini?
 
Wadau wapi naweza kupata notice za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulingana na mtahala (syllabus) za wizara ya elimu Tanzania.

Wapi naweza kuzipakua (download) kwa ajili ya vijana wetu? Wengi wetu tunaweza kuwa na changamoto ya hili jambo maana unaweza ukawa na kijana akataka kwenda spidi (ahead) ya mwalimu kwa ufanisi zaidi.

Ingia hapo
 
Back
Top Bottom