Nahitaji notes za somo la kiswahili kdato cha kwanza hadi nne

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,646
Wakuu habari za jioni.
Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4.
Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri.
Nitapiga photocopy kwa gharama zangu na nitakulipa pesa nzuri kwa kunipatia notes hizo.
Asante sana.
Ni PM kisha tutapanga namna ya kuipatia nipige photocopy.
 
Wakuu habari za jioni.
Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4.
Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri.
Nitapiga photocopy kwa gharama zangu na nitakulipa pesa nzuri kwa kunipatia notes hizo.
Asante sana.
Ni PM kisha tutapanga namna ya kuipatia nipige photocopy.
ninazo mkuu
 
kuchanganua sentensi kwa njia ya matawi na jedwari unakuja kuomba notes huku,embu andika neno notes hilo kwa kiswahili tukupe chap
 
Wakuu habari za jioni.
Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4.
Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri.
Nitapiga photocopy kwa gharama zangu na nitakulipa pesa nzuri kwa kunipatia notes hizo.
Asante sana.
Ni PM kisha tutapanga namna ya kuipatia nipige photocopy.
1. Uchambuzi Tafuta Google andika kitabu ukitakacho utapata uchambuzi. 2. Baadhi za vitabu vya Kidato cha 1-4 vilionekana havina ubora na serkali ilitaka nchi kutumia kitabu kimoja. Ushauri PATA Vitabu kadhaa chambua I'll upate zenye ubora. Ukikwama zaidi wasiliana nami utapta kuanzia kidato cha 1 hadi CHUO Kikuu.
 
Wakuu habari za jioni.
Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4.
Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri.
Nitapiga photocopy kwa gharama zangu na nitakulipa pesa nzuri kwa kunipatia notes hizo.
Asante sana.
Ni PM kisha tutapanga namna ya kuipatia nipige photocopy.

Kwa niaba ya wengine wote wenye uhitaji kama huu, njoo jichukulie library nzima, yaani vyote nilivyonavyo kama inavyoenekana kwenye tangazo hili na mengine mengi kabisa.
............................................................................................................................................

STUDY MATERIALS, STUDENTS DATABASE MANAGEMENT SYSTEM, EXCEL TEMPLATES (KWA MATUMIZI YA SHULE) KWAAJILI YA SHULE, WAALIMU NA WANAFUNZI SOFTCOPY SHULE YA MSINGI HADI KIDATO CHA SITA.

Kwa wamiliki wa shule, website za elimu,na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

EXCEL SHEET TEMPLATES

1.School calendar template (Place important notice, events, and reminders).

2.Grade book worksheet to calculate grades.

3.Library Book Checkout Sheet (Student, Contact Email, Contact Phone, Book Title, Date Borrowed, Date Returned, No. of Days)

4. Home schooling progress record.

5. Personal monthly budget.

6. Weekly Attendance reports.

STUDY MATERIALS (LESSON NOTES, BOOKS, QUESTION AND ANSWERS REVISIONS, PASTPAPERS, PRACTICALS.

Mzazi pia unaweza mchukulia mwanao.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

1. Complete notes from form one to form six all subjects.

BASIC MATHEMATICS, ADVANCED MATHEMATICS, BASIC APPLIED MATHEMATICS, CHEMISTRY, PHYSICS, BIOLOGY, GEOGRAPHY, ECONOMICS, HISTORY, KISWAHILI, GENERAL STUDY, ACCOUNTANCY, COMMERCE, COMPUTER, ENGLISH, CIVICS, BOOK KEEPING, ISLAMIC KNOWLEDGE, BIBLE KNOWLEDGE,

2. Past papers (Exams) with marking scheme (Primary level, O-level and Advance level)

TESTS, MOCK, NECTA, TERMINAL, ANNUAL, PRE-NECTA, PRE-MOCK EXAMS.

+255 752026992

3. COMPLETE SCHEMES OF WORK ALL SUBJECTS (Primary level, O-level and Advance level).

4. POWERPOINT NOTES.

5. LITERATURE ANALYSIS

(PASSED LIKE A SHADOW, UNANSWERED CRIES, SPARED, THE LION AND THE JEWEL, THREE SUITORS ONE HUSBAND ETC)

6. UHAKIKI WA KAZI ZA FASIHI RIWAYA, TAMTHILIA NA MASHAIRI (MALENGA WAPYA, WASAKATONGE, WATOTO WA MAMA NTILIE NA NYINGINE NYINGI)

7. TEXTBOOKS
(Primary level, O-level and Advance level)

BIOLOGY BOOK 2, BIOLOGY BOOK 3, BIOLOGY BOOK 4, PURE MATHEMATICS 1 & 2, CHAND 1 AND 2 PHYSISCS, MAARIFA YA JAMII DARASA LA SITA, LAMBERT CHEMISTRY, QUESTIONS AND ANSWER BOOKS, PRINCIPLES OF PHYSICS, TOPICAL REVISION BOOKS, 1300 MATHS FORMULAS NA VITABU VINGINE VINGI PIA VINAPATIKANA
.
Kwa wamiliki wa shule, website za elimu,na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

8. QUESTION AND ANSWERS REVISON PAMPHLETS (Primary level, O-level and Advance level)

9. Solved practical Questions and answers form one to form six,
physics, chemistry and biology.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Kwa wale ambao wangependa tukutane, tunapatikana Ubungo, Dar es salaam.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

MICROSOFT ACCESS STUDENTS DATABASE MANAGEMENT SYSTEM.

Hii ni Database ambayo ina uwezo wa kufanya yafuatavyo:-

1. Kutunza taarifa kamili za mwanafunzi.

2. Kujaza taarifa za afya ya mwanafunzi, taarifa ya vipimo na maelezo kamili kutoka hospitali.

3. Kujaza taarifa za Mzazi/Mlezi wa kila mwanafunzi
.
4. Kutumia kupata mahudhurio ya wanafunzi wa kila darasa
.
FAIDA ZA DATABASE HII.

1. Kurahisisha ufuatiliaji wa mahudhurio ya wanafunzi.

2. Hauhitaji gharama zozote za ziada katika kuitumia database hii.

4. Ina sehemu ya setting hivyo unaweza kuongeza taarifa zingine zaidi za shule.

5. Ina uwezo wa kujaza taharifa za idadi kubwa ya wanafunzi.

6. Kupunguza gharama za uendeshaji wa shughuli za shule hasa katika kurekodi taarifa za wanafunzi na waalimu.

7. Kurahisisha uwasilishaji wa taharifa katika ngazi za uongozi mashuleni, kwakuwa inamruhusu mwalimu yeyote kupata au kuweka taarifa za mwanafunzi.

Inaweza tumika kwa shule za msingi na sekondari.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

Kwa wamiliki wa shule, website na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

........................................................................................................................................................

Zote hizo zipo softcopy, kwa wafanyabiashara za stationary unaweza jiongezea thamani kwa kuongeza study materials kwaajili ya wanafunzi
 

Attachments

  • BEST DESIGN ACADEM DOCS.jpg
    BEST DESIGN ACADEM DOCS.jpg
    264.2 KB · Views: 2
  • rsz_new_best_to_use.jpg
    rsz_new_best_to_use.jpg
    124.1 KB · Views: 2
Wakuu habari za jioni.
Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4.
Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri.
Nitapiga photocopy kwa gharama zangu na nitakulipa pesa nzuri kwa kunipatia notes hizo.
Asante sana.
Ni PM kisha tutapanga namna ya kuipatia nipige photocopy.
nitafute ninazo zote
 
Back
Top Bottom