Nahitaji nguvu ya solar power kuvuta maji katika project yangu

Nahitaji nguvu ya solar power kuvuta maji katika project yangu

Msuya Jr.

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2013
Posts
1,691
Reaction score
901
Heloo wadau, nina project yangu ya kilimo na ufugaji katika mkoa wa kilimanjaro, sasa nauliza iwapo naweza pata kampuni inayohusika na kufunga mashine za kuvuta maji kutoka katika visima vilivopo shambani ,
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063
 
Pima umbali wa kutoka kwenye chanzo cha maji na shamba, kama ni kisima je kina urefu gani?
Pili nakushauli gharama ya kufunga solar powered pump kwa ajili ya kuvuta maji ni sawa na kununua generator la 4 kva pamoja na pump.
Kwa hiyo generator utaweza tumia kwa shughuli nyingine.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Pima umbali wa kutoka kwenye chanzo cha maji na shamba, kama ni kisima je kina urefu gani?
Pili nakushauli gharama ya kufunga solar powered pump kwa ajili ya kuvuta maji ni sawa na kununua generator la 4 kva pamoja na pump.
Kwa hiyo generator utaweza tumia kwa shughuli nyingine.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Kumbuka akinunua solar powered pump hataitaji kununua petroli au diesel. Kwa maana hiyo bora Solar kuliko generator
 
Kumbuka akinunua solar powered pump hataitaji kununua petroli au diesel. Kwa maana hiyo bora Solar kuliko generator

Ukizingatia shughuli za kilimo hasa cha umwagiliaji haupo sawa.
Wakulima wadogo kama mimi nawashauli wawekeze vitu shambani ambavyo utavitumia sehemu nyingi, kuliko kuinvest pesa kubwa kwa kitu chenye tumizi moja.
Na nikueleze ktk shughuli yeyote ya kilimo petrol huwezi kukwepa. Hata kama ukiweka solar.
Mfano unanunua water pump,
Mwingine akanunua generator na submarsible pump.
Na wote hawa kazi yao ni kumwagilia,
Nakupa details kimahesabu
-aliyenunua water pump, katumia pesa ndogo kwenye manunuzi na mzunguko wa pesa inayoingizwa na pump umeishia hapo. Utatumia muda mwingi kurudisha pesa.
-aliyenunua generator na domestic pump atatumia pesa kubwa kwenye manunuzi, na mzunguko wa kuingiza pesa kwa matumizi ya vifaa hivyo ni mkubwa sababu vyote vinaweza tumika kwenye kazi nyingi shambani.



Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kueleza matumizi mengine ya submersible pump tofauti na ku pump maji ?

Je nimatumizi gani ambayo generator inaweza kutumika shambani?
 
Heloo wadau, nina project yangu ya kilimo na ufugaji katika mkoa wa kilimanjaro, sasa nauliza iwapo naweza pata kampuni inayohusika na kufunga mashine za kuvuta maji kutoka katika visima vilivopo shambani ,
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063
Project yako Ina ukubwa gani na kisima kina urefu gani? Naweza kukusaidia kwa kukuelekeza jinsi ya kupata hivyo vifaa kwa bei nafuu bila kupitia makampuni
 
Project yako Ina ukubwa gani na kisima kina urefu gani? Naweza kukusaidia kwa kukuelekeza jinsi ya kupata hivyo vifaa kwa bei nafuu bila kupitia makampuni

- Kisima kina urefu wa 100 meter, kama sijakosea kwa kipimo hapo.
-Eneo langu lina ukubwa wa heka 17, but project yangu itaanza na like 5 heka , na mostly nimelenga pia katika kutengeneza bwawa la samaki , la kama vifaranga 1000 hivi, ( biashara ikiwa nzuri itapanuka zaidi,
-Hvo nahitaji niweze angagalu kumwagilia heka 2-3 kwa siku,
-Uzuri wa hii solar power water pamp , inaweza kuwasha umeme pia maana bado umeme upo mbali kiasi , kwa kipindi hichi almost 3 km kufika shambani kwangu.
- Nina pampu zingine za diesel , but kwa sasa ningependa kujua kuhusu solar power,
- Nimekuwa interested na solar power sababu nimeona kuna mradi wa kijijini kwetu unavuta maji na kusambaza kwa almost vijiji 3, na bado unatoa nishati ya mwanga , huu uliwekwa na wajerumani ilikuwa msaada, hivo sina contact nao, walishaondoka.

Regards
 
Unaweza kueleza matumizi mengine ya submersible pump tofauti na ku pump maji ?

Je nimatumizi gani ambayo generator inaweza kutumika shambani?
Generator inaweza kutumika katika shamba kama source ya umeme kwa ajili
-taa
-kuendesha air compressor
-shughuli za kuchomea either majembe hata nguzo
Submarsible pump inaweza tumika kama
-kutransfer maji
-kutransfer dawa za maji kutoka sehemu ya kuchanganya kwenda kwenye tanki kubwa la pump
-na hutumika kutoa maji ambayo yamesimama ktk shamba baada ya mvua kunyesha
 
Generator inaweza kutumika katika shamba kama source ya umeme kwa ajili
-taa
-kuendesha air compressor
-shughuli za kuchomea either majembe hata nguzo
Submarsible pump inaweza tumika kama
-kutransfer maji
-kutransfer dawa za maji kutoka sehemu ya kuchanganya kwenda kwenye tanki kubwa la pump
-na hutumika kutoa maji ambayo yamesimama ktk shamba baada ya mvua kunyesha
Air compressor in kazi gani shambani?
 
Generator inaweza kutumika katika shamba kama source ya umeme kwa ajili
-taa
-kuendesha air compressor
-shughuli za kuchomea either majembe hata nguzo
Submarsible pump inaweza tumika kama
-kutransfer maji
-kutransfer dawa za maji kutoka sehemu ya kuchanganya kwenda kwenye tanki kubwa la pump
-na hutumika kutoa maji ambayo yamesimama ktk shamba baada ya mvua kunyesha
Acha story nyingi, mwenzako ameshasema shambani tayari anayo generator ya Diesel lakini sasa hivi anahitaji solar water pump. Mwenzako yuko field, wewe uko nyuma ya keyboard!
 
Acha story nyingi, mwenzako ameshasema shambani tayari anayo generator ya Diesel lakini sasa hivi anahitaji solar water pump. Mwenzako yuko field, wewe uko nyuma ya keyboard!

Mimi nakupostia ili ujue ninachokisema.
IMG-20180119-WA0081.jpg
IMG-20171216-WA0032.jpg
IMG-20171227-WA0006.jpg
IMG-20180102-WA0056.jpg
IMG-20171229-WA0040.jpg

Nimeshatumia solar
Kwa hiyo ninachokisema kimetokana na utendaji
IMG-20180102-WA0023.jpg
IMG-20180102-WA0046.jpg

Karibu namalizia kuvuna passion,
Huku napanda mpunga.
Tuma na wewe uliyoko kwenye field, mimi nipo ofisini nachezea computer
 
Acha story nyingi, mwenzako ameshasema shambani tayari anayo generator ya Diesel lakini sasa hivi anahitaji solar water pump. Mwenzako yuko field, wewe uko nyuma ya keyboard!
Kumbuka mtu huyu kaomba ushauli hakusema tushindane kama hukupenda story zangu, basi weka zako
 
Huko kwenye bustani za nyuma ya nyumba nilishatoka zamani sana. Anyway tuachane na hayo. Mdau alishasema unachomwambia anunue tayari anacho, anataka kuangalia altenative nyingine! Inamaana ameshaona faida na hasara za diesel power gen, ameopt solar kwa sasa!
 
Mtaji wa sola ni mkubwa kidogo maana utahitaji vitu vikubwa vitatu yaani Solar panels, battery na Inverter hivi gharama zake iko juu; mimi nimefunga nyumbani kwangu Sola panels 150 Watts pc 4 - 720,000; Solar battery 200AM 12 V pcs 2 na zenyewe TZS 1,435,650; Invertor TZS 1,985,500 bado labour, change over switch na vitu vingine vidogo vidogo.

Sikiliza ushauri ukinununua used generator 5KVA na pump inaweza isikugharimu TZS 2 million. Kwa hiyo bajeti ya sola unaweza kununua generator, pump na storage tank 10,000 lts mbili.

NB: sina shamba nini bustani ya migomba minne na matuta matatu ya mchicha kwa ajili ya familia yangu
 
Huko kwenye bustani za nyuma ya nyumba nilishatoka zamani sana. Anyway tuachane na hayo. Mdau alishasema unachomwambia anunue tayari anacho, anataka kuangalia altenative nyingine! Inamaana ameshaona faida na hasara za diesel power gen, ameopt solar kwa sasa!
Sawa anunue hiyo solar

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom