Msuya Jr.
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 1,691
- 901
Heloo wadau, nina project yangu ya kilimo na ufugaji katika mkoa wa kilimanjaro, sasa nauliza iwapo naweza pata kampuni inayohusika na kufunga mashine za kuvuta maji kutoka katika visima vilivopo shambani ,
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063