Sista Sophia
Member
- Feb 6, 2010
- 50
- 26
- Thread starter
- #101
Mimi ni mwanamke nadhani jina limejieleza vya kutosha. I'm very serious msione natania hapa.
Hadi nimefikia kuweka thread ujue nipo serious,nahitaji mwanaume ambaye yupo serious.
Kuna baadhi wametuma PM zao wanataka niwe mke wa pili, mie sipo tayari kuwa mke wa pili ndio maana nipo tayari hata kubadili dini niwe mke pekee kwa huyo atakayekuja kuwa mume wangu. Kama una mke tayari wala usijihangaishe kutuma PM.
Hadi nimefikia kuweka thread ujue nipo serious,nahitaji mwanaume ambaye yupo serious.
Kuna baadhi wametuma PM zao wanataka niwe mke wa pili, mie sipo tayari kuwa mke wa pili ndio maana nipo tayari hata kubadili dini niwe mke pekee kwa huyo atakayekuja kuwa mume wangu. Kama una mke tayari wala usijihangaishe kutuma PM.