Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
A.K.A
Baba Matesha........................
You are always there for me mamushka! Pale nimekagonga na hapa nakupa: Thanks!
A.K.A
Baba Matesha........................
ther you are!A.K.A
Baba Matesha........................
Sawa kabisa mpendwa. na hapa Jf watu wengi tumeficha our real id.Hapana! Amesema anatafuta MWENZA. Anaweza kuwa mwanamke anayetaka kuoa mwanamke mwenzie. Au anaweza kuwa mwanaume pia.
Jina Si Kigezo. Kuna watu wanaitwa anti Oliver lakini ni wanaume.
Chrispin ni jina la mwanaume kwa kuwa mwanaume huyu alithibitisha kuwa yeye ni mwanaume.
Sawa kabisa mpendwa. na hapa Jf watu wengi tumeficha our real id.
Chrispin, nadhani umeamua tu kunione mimi, hebu soma hapo chini.........mimi nakwambia huyo mtafuta mwenza ni MWANAMKE na huyo mwenza anayetafutwa ni mwanaume a.k.a MUMEHapana! Amesema anatafuta MWENZA. Anaweza kuwa mwanamke anayetaka kuoa mwanamke mwenzie. Au anaweza kuwa mwanaume pia.
Jina Si Kigezo. Kuna watu wanaitwa anti Oliver lakini ni wanaume.
Chrispin ni jina la mwanaume kwa kuwa mwanaume huyu alithibitisha kuwa yeye ni mwanaume.
Wewe dada Sofia wengine tumeolewa tukiwa na 40 wala hatukuhofu umri kukimbia .. sasa tunaonja maisha katika mwanga bora .....
heheheh hapa JF utampata tu mwenza wako usihofu..
lakini pia usisahau kuomba upate mme mwema
Hujachelewa mama utampata tu ila usiwe na masharity kibao we omba Mungu akupe mwenza mwema. Umri usiwe na shida b'se age is nothing but a number!
Mbona hilo neno lenyewe limebeba mambo mengi mno?
Nways kila la kheri; bahati mbaya dini yangu hairuhusu mke wa pili ningekuombea ruhusa ka mama jr
asikudanganye mtu dadangu huo umri umesogea sana kwa mwanamke, sababu moja kubwa ni kuwa wanawake wanawahi kuzeeka, usiweke vikwazo sana lakini na hilo la masterz nadhani kwa wanaume wengi ni kikwazo (kwa mtazamo wangu lakini), hivyo jaribu kuliweka pembeni kidogo hayo mambo mwenzio atayafahamu ndani ya nyumba
Chrispin, nadhani umeamua tu kunione mimi, hebu soma hapo chini.........mimi nakwambia huyo mtafuta mwenza ni MWANAMKE na huyo mwenza anayetafutwa ni mwanaume a.k.a MUME
Hivi hawa wanaotafuta wachuimba humu wako serous? I 100% daught that!!! Inamaana mwenye hivyo vigezo akija unamkubali sio? I have my big bro bado hajaoa na vigezo hivyo anavyo ni Pm no. yako ya tigo nimpatie atakupigia!!
Mwingine huyu hapa!
Nani kakuambia anatafuta mume?
You are always there for me mamushka! Pale nimekagonga na hapa nakupa: Thanks!
Ulishapendwa! pamoja na vituko vyako vyote vya kudumisha mila. mie cjambo laazizi . hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.Ubarikiwe mpendwa. Hujambo lakini weye?
Hivi hawa wanaotafuta wachuimba humu wako serous? I 100% daught that!!! Inamaana mwenye hivyo vigezo akija unamkubali sio? I have my big bro bado hajaoa na vigezo hivyo anavyo ni Pm no. yako ya tigo nimpatie atakupigia!!
Ulishapendwa! pamoja na vituko vyako vyote vya kudumisha mila. mie cjambo laazizi . hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.
Hivi hawa wanaotafuta wachuimba humu wako serous? I 100% daught that!!! Inamaana mwenye hivyo vigezo akija unamkubali sio? I have my big bro bado hajaoa na vigezo hivyo anavyo ni Pm no. yako ya tigo nimpatie atakupigia!!
Msasha huoni kama anacheza na akili zetu!! Mimi nimechukulia jina! Kama ni mwanaume anajiita sister Sophia basi atakua wale wale wanaume wanao olewa!! Ila miaka 29 unatafuta mchumba ranging 50years and Below!! lol
Ulishapendwa! pamoja na vituko vyako vyote vya kudumisha mila. mie cjambo laazizi . hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.
Naomba nikuulize swali sista sophia. Umeshawahi kuwa na boyfriend?