bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Mkuu ndo maana kwa wenye akili tunajua pa kuwapata sio humu!
wa nyongeza B au nimeingia ndani sana.......????
Mkuu ndo maana kwa wenye akili tunajua pa kuwapata sio humu!
I am on break i gues.
wa nyongeza B au nimeingia ndani sana.......????
dah umeingia ndani sana B! LOL....honestly my point is hapa mtu anatafuta mchumba ana post 6 kisha mzoefu? over my dead body!
and who takes them seriously anyaway!!!!!!!!!!
mambo mengine B utazame tu ujikalie zako kimya....
hehehehe,umeonae?.icije ikawa ni Iribini kaleta id nyingine maana babushka yule kwa kudumisha mila hawezekani.ndio maana nataka niende usukumani.dah umeingia ndani sana B! LOL....honestly my point is hapa mtu anatafuta mchumba ana post 6 kisha mzoefu? over my dead body!
haswaaaa!!!B ngoja nitoke zangu hapa sasa nikaangalie angalie huko leo ijumaa ujue.....
hommie mi mzalendo natumia TTCL mobile!
kwa nini unatumia tiGo hommie?
Usinisahau kwenye msafara hommie!worry not B
Sasa ndo ujiandae kuwa na wageni wasiokauka hommie kwako B, ndo maua yenyewe ya boga lako hilo!
tiGo siyo reliable? Siamini!Sipendi kabisa mkubwa, mtandao huo uko cheap but very unreliable!
Kwa sababu ni mtandao unaokupa vyote, pamoja na kujiexpress.hommie mi mzalendo natumia TTCL mobile!
kwa nini unatumia tiGo hommie?
Eti? Unataka kupigwa wewe?Kaizer i miss youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Sorry, sikujua. Kila la kheriMiss you too carmel....hebu endelea kutafuta basi ka avatar kengine ee baby
sina tatizo kabisa na hilo
ila dada zao wabehave tu, sitaki mawifi wagombanishi mie a.k.a wenye gubu..............
Mi simo!I am on break i gues.
hehehehe,umeonae?.icije ikawa ni Iribini kaleta id nyingine maana babushka yule kwa kudumisha mila hawezekani.ndio maana nataka niende usukumani.
Hivi hawa wanaotafuta wachuimba humu wako serous? I 100% daught that!!! Inamaana mwenye hivyo vigezo akija unamkubali sio? I have my big bro bado hajaoa na vigezo hivyo anavyo ni Pm no. yako ya tigo nimpatie atakupigia!!
Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na bachelor, mimi nina masters.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.