Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,956
Salaam! Mimi ni kijana wa 44 years Mjasiriamali
Niko Arusha
Nimekaa kwenye ndoa miaka 16 ila ilikuwa ni ndoa yenye vioja vingi sana
Na hatimaye tukaachana rasmi
Nina watoto 3
Maisha yangu ni ya uchumi wa kati kama Tanzania vile
Nahitaji Dada mzuri wa umri wa si chini ya 30 - 40
Asiwe Mchaga kabisa hili ninasisitiza ASIWE MCHAGA.
Awe mweusi au maji ya kunde
Mrefu au wastani
Mkristo / Akiwa Muslim awe tayari kubadilika.
Mpambanaji(ambae nikimpa mtaji anaweza kufanya biashara)
Asiwe na mambo mengi
NB; Haina maana unakuja kukaa na watoto wangu hapana
Watoto wako na Mama yao.
Aliye serious tuwasiliane PM tafadhali
Niko Arusha
Nimekaa kwenye ndoa miaka 16 ila ilikuwa ni ndoa yenye vioja vingi sana
Na hatimaye tukaachana rasmi
Nina watoto 3
Maisha yangu ni ya uchumi wa kati kama Tanzania vile
Nahitaji Dada mzuri wa umri wa si chini ya 30 - 40
Asiwe Mchaga kabisa hili ninasisitiza ASIWE MCHAGA.
Awe mweusi au maji ya kunde
Mrefu au wastani
Mkristo / Akiwa Muslim awe tayari kubadilika.
Mpambanaji(ambae nikimpa mtaji anaweza kufanya biashara)
Asiwe na mambo mengi
NB; Haina maana unakuja kukaa na watoto wangu hapana
Watoto wako na Mama yao.
Aliye serious tuwasiliane PM tafadhali