macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,279
- 56,966
Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?Ni mchaga
Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?Ni mchaga
Nakutaka weweWaoaji mnaitwa huku, kuna Fursa kwa ajiri yenu.
Subiri wanakuja.
Mie ni makamu mwenyekiti.Naona umekuwa dalali,post yako lini au ni katibu wa kataa ndoa.
Nipo Dr, vipi wee unaendeleaje?
Wee em apia?Nitakuoa wewe Cocastic taka usitake. Huu ni uamuzi usiohojika
Wee em sema kwelii?Unataka kuoa mke wa kiume??![]()
Nusu mzungu, fursa hii em changamkia bhana, MC wa harusi niko hapa, tena buree.Tuliaaaa
Wee em apiaa??Nakutaka wewe
Wee usiniambiee?
Ngoja kwanza nasikiza
Ibraah - Amani




Amani inatawala mbona tena inner peaceWee usiniambiee?
Amani itoke wapi na babe ako kakupiga kibuti? Mxxxxiiiiew

Rombo,/nangsha/nasicha/Mchaga wa wapi? Shimboni? Habari yafo? Naesindiso kekyu/saa?