Nahitaji mwalimu wa Noten na kupiga kinanda

Nahitaji mwalimu wa Noten na kupiga kinanda

Dexaquin

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
230
Reaction score
80
Habarini wakuu,

Kama heading inavyojieleza hapo. Nahitaji mwalimu wa kunifundisha noten na kupiga kinanda(keyboard).
Mimi nipo Mwanza... Aliye tayari/anaefahamu wapi ntampata kwa Mwanza ani-PM tafadhali..

Natanguliza shukrani zangu kwenu!
 
Habarini wakuu,

Kama heading inavyojieleza hapo. Nahitaji mwalimu wa kunifundisha noten na kupiga kinanda(keyboard).
Mimi nipo Mwanza... Aliye tayari/anaefahamu wapi ntampata kwa Mwanza ani-PM tafadhali..

Natanguliza shukrani zangu kwenu!

Mkuu upo serious?
 
Kinanda sina ila ndio nilikiwa katika maandalizi ya kukipata

Nakushauri, ukipate mkuu. Maana wanamuziki wengi hawapendi kuwafundisha wenzao, hivyo most of the time itabidi utumie material kutoka kwenye internet na mimi ninaweza kukupatia video files za kujifunzia. Unataka kupiga muziki wa aina gani?
 
Nakushauri, ukipate mkuu. Maana wanamuziki wengi hawapendi kuwafundisha wenzao, hivyo most of the time itabidi utumie material kutoka kwenye internet na mimi ninaweza kukupatia video files za kujifunzia. Unataka kupiga muziki wa aina gani?

Asante saana mkuu... napenda kupiga muziki wa noten
 
Noten, unamaanisha kusoma na kupiga nota?

Kusoma na kupiga pia! Ila napenda kupiga saana.... ila huwa nasikia kwamba huwezi piga mpaka ujue kuzisoma ndio maana nikasema kusoma na kupiga!
 
Unatakiwa upate mwAlimu mkali akae na bakora kabisa. Ndo utaelewa kwa wepesi na haraka huo mziki. Maana una kazi mbili hapo kwanza kuzijua note zenyewe, kisha kinanda chenyewe na njia zake
 
Tena anzia kinanda cha kawaida tu. Ukishaelewa ndio uhamie kwenye workstations
 
Sjui nah real kafungua tawi huko rock city maana ndo ishu zake izo za ukufunzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom