Nahitaji mume bora

Nahitaji mume bora

mume bora zama hizi? utamtoa wapi? labda peleka special order kwa muumba...
 
CUTE01 naona umerudi na ID mpya!!


Just like the old days
 
Last edited by a moderator:
sifa:
  • awe na hofu ya Mungu na anayeheshimu wazazi pia.
  • awe na hela
  • awe na mawazo mazuri na anafikiri mbali siyo urefu wa pua yake
  • awe anajitambua
  • awe anajipenda ana kupenda jamii inayomzunguka
  • awe anapenda watoto.
  • awe anajua kucheza michezo yote
  • awe anaweza kunifanya nifurahi mda wot
  • awe anajua kubembeleza
  • awe na huruma
  • awe ananibeba nikitaka kubebwa
  • awe ananidekeza
  • awe ananipa hela though si lazima
  • awe funy na awe rafiki pia

Watu wengi hili hawalijui au wanapuuza!

Kama mume wako si rafiki, usishangae mkatembea hata kilometa pamoja bila hata kusemeshana!

Uhusiano wenu unakuwa 'too formal'!

Hakuna ndoa hapo ni kwamba mlikidhi matamanio ya miili tu!
 
Watu wengi hili hawalijui au wanapuuza!

Kama mume wako si rafiki, usishangae mkatembea hata kilometa pamoja bila hata kusemeshana!

Uhusiano wenu unakuwa 'too formal'!

Hakuna ndoa hapo ni kwamba mlikidhi matamanio ya miili tu!

sawa kabisa wengi hiki kipengele wanakiweka pembeni ... lakini ni muhimu sana
 
^^
Mwenye pesa
Anaekuridhisha
Hana kibamia
Mcha Mungu
Msomi
Mpole daima
Anaejitegemea
Mwaminifu
Handsome
Anaekubalika kwa rafiki zako
Mkweli
Mtunza familia
Anaejali hisia zako
...
ANAKUJA DADA, usiwaze
^^
money oriented mind ...... pole
 
sifa:
  • awe na hofu ya Mungu na anayeheshimu wazazi pia.
  • awe na hela
  • awe na mawazo mazuri na anafikiri mbali siyo urefu wa pua yake
  • awe anajitambua
  • awe anajipenda ana kupenda jamii inayomzunguka
  • awe anapenda watoto.
  • awe anajua kucheza michezo yote
  • awe anaweza kunifanya nifurahi mda wot
  • awe anajua kubembeleza
  • awe na huruma
  • awe ananibeba nikitaka kubebwa
  • awe ananidekeza
  • awe ananipa hela though si lazima
  • awe funy na awe rafiki pia

Sifa zote ninazo sijui tuonane wapi ?
 
Ndio ipo wapi?naisikia tu INA nyama choma nzuri

pale afrikasana hapo mkuu kuna kuku wa kuchoma watamu acha kabisa njoo basi na hela ya bia mimi sina hela sa kumi na mbili hivi nitakuwa nimefika
 
pale afrikasana hapo mkuu kuna kuku wa kuchoma watamu acha kabisa njoo basi na hela ya bia mimi sina hela sa kumi na mbili hivi nitakuwa nimefika

Nitakuja but sitakutafuta,mambo ya kufumaniwa noma
 
Mbona umekaa kifedha fedha anyway nikija hapo suala la kuchangia gharama halikwepeki nikizungusha round inyofuata lazima uzame kwenye pochi ha ha ha ha ha.

Haina tabu lakini lazima tuende sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom