Nahitaji msaada wa mawazo gharama za kununua mashine ya kukoboa na kusaga nafaka

Mimi niko kwenye biashara hii kwa miezi kumi sasa machine nzuri na imara zinapatikana sido-arusha au moshi za kichina hazidumu kaka. Kama mtaji wako c mkubwa unaweza kuanza na size 50 ya kusaga ila ya kukoboa usikubali kupewa roller 2 bali wakupe roller 3. Ila usimamizi wa karibu ni lazima

MAKADIRIO YA GHARAMA: (SIDO ARUSHA)
a.) Machine ya kusaga size 50, moter hp 20,frame, starter na mikanda yake mitatu=2500,000/=
Note: Ni vyema wakakupa moter hp 25 au 30 ingawa watakudiscourage na kukuambia ni kubwa sana. Mimi walinipa hp 20 iliungua mara 2 ndani ya miezi 2 maana nilikuwa na kazi nyingi sana. Wazoefu wanishauri ninue hp 30, tangu nimenunua mwezi wa nne haijawahi kuungua na inapiga kazi bila hata ya kuchemka
b.) Mashine ya kukoboa roller 3, frame, mikanda 3, motor hp 25 na starter=3200,000/=
c.) Wiring inategemeana na jengo lenyewe na nguzo ziko umbali gani makadirio 1500,000/= hadi 2,200,000/=
d.) Mifuko (25kg), kuchonga nembo kiwandani 200,000/= na wanaanza na order ya mifuko 400 kwa bei ya 540/= kwa mfuko wanapatikana mwanza
e.) Cherehani ya kushona mifuko, ndogo ni sh. 200,000/= kubwa 500,000/= japo ndogo ni nzuri maana hazitumii mkanda

NAKUTAKIA KILA LA KHERI MKUU

Mashine za kusaga na kukoboa tunazitengeneza ubungo external
 
Mimi niko kwenye biashara hii kwa miezi kumi sasa machine nzuri na imara zinapatikana sido-arusha au moshi za kichina hazidumu kaka. Kama mtaji wako c mkubwa unaweza kuanza na size 50 ya kusaga ila ya kukoboa usikubali kupewa roller 2 bali wakupe roller 3. Ila usimamizi wa karibu ni lazima

MAKADIRIO YA GHARAMA: (SIDO ARUSHA)
a.) Machine ya kusaga size 50, moter hp 20,frame, starter na mikanda yake mitatu=2500,000/=
Note: Ni vyema wakakupa moter hp 25 au 30 ingawa watakudiscourage na kukuambia ni kubwa sana. Mimi walinipa hp 20 iliungua mara 2 ndani ya miezi 2 maana nilikuwa na kazi nyingi sana. Wazoefu wanishauri ninue hp 30, tangu nimenunua mwezi wa nne haijawahi kuungua na inapiga kazi bila hata ya kuchemka
b.) Mashine ya kukoboa roller 3, frame, mikanda 3, motor hp 25 na starter=3200,000/=
c.) Wiring inategemeana na jengo lenyewe na nguzo ziko umbali gani makadirio 1500,000/= hadi 2,200,000/=
d.) Mifuko (25kg), kuchonga nembo kiwandani 200,000/= na wanaanza na order ya mifuko 400 kwa bei ya 540/= kwa mfuko wanapatikana mwanza
e.) Cherehani ya kushona mifuko, ndogo ni sh. 200,000/= kubwa 500,000/= japo ndogo ni nzuri maana hazitumii mkanda

NAKUTAKIA KILA LA KHERI MKUU
Asante kwa maelezo mazuri naomba mawasiliano yako kunajambo nahitaji kukuuliza.
 
Wadau wa Jamii Forum,Habari! Naomba kuuliza wakongwe wa biashara hii ya kusaga unga wa sembe na kupeki kwenye viroba,changamoto kwa sasa ni ipi katika hii biashara maana nnafikiria kuifanya.
Gharama za uendeshaji zikoje na faida yapatikanaje?
 
Mkuu, capacity to ngapi kwa saa
Mimi niko kwenye biashara hii kwa miezi kumi sasa machine nzuri na imara zinapatikana sido-arusha au moshi za kichina hazidumu kaka. Kama mtaji wako c mkubwa unaweza kuanza na size 50 ya kusaga ila ya kukoboa usikubali kupewa roller 2 bali wakupe roller 3. Ila usimamizi wa karibu ni lazima

MAKADIRIO YA GHARAMA: (SIDO ARUSHA)
a.) Machine ya kusaga size 50, moter hp 20,frame, starter na mikanda yake mitatu=2500,000/=
Note: Ni vyema wakakupa moter hp 25 au 30 ingawa watakudiscourage na kukuambia ni kubwa sana. Mimi walinipa hp 20 iliungua mara 2 ndani ya miezi 2 maana nilikuwa na kazi nyingi sana. Wazoefu wanishauri ninue hp 30, tangu nimenunua mwezi wa nne haijawahi kuungua na inapiga kazi bila hata ya kuchemka
b.) Mashine ya kukoboa roller 3, frame, mikanda 3, motor hp 25 na starter=3200,000/=
c.) Wiring inategemeana na jengo lenyewe na nguzo ziko umbali gani makadirio 1500,000/= hadi 2,200,000/=
d.) Mifuko (25kg), kuchonga nembo kiwandani 200,000/= na wanaanza na order ya mifuko 400 kwa bei ya 540/= kwa mfuko wanapatikana mwanza
e.) Cherehani ya kushona mifuko, ndogo ni sh. 200,000/= kubwa 500,000/= japo ndogo ni nzuri maana hazitumii mkanda

NAKUTAKIA KILA LA KHERI MKUU
 
Wadau wa Jamii Forum,Habari! Naomba kuuliza wakongwe wa biashara hii ya kusaga unga wa sembe na kupeki kwenye viroba,changamoto kwa sasa ni ipi katika hii biashara maana nnafikiria kuifanya.
Gharama za uendeshaji zikoje na faida yapatikanaje?
Wakuu tunaomba msaada kwa wazoefu hapo
 
Wadau wa Jamii Forum,Habari! Naomba kuuliza wakongwe wa biashara hii ya kusaga unga wa sembe na kupeki kwenye viroba,changamoto kwa sasa ni ipi katika hii biashara maana nnafikiria kuifanya.
Gharama za uendeshaji zikoje na faida yapatikanaje?
Changamoto ni kupata mahindi mazuri kwenye soko na kwa bei nzuri, kama unauwezo wa kwenda kununua mkoani kama dodoma huko itakusaidia kuliko kutumia madalali pale manzese wanalalia sana wale jamaa, pia lazma upate mtaalamu mzuri wa kusaga na kukoboa maana wengine wanajua kulipua tu halafu ukapeleka unga kwa wateja ukawa sio standard, Hii inahitaji usimamizi wa karibu sana, maana kuna kuuza pumba ukiacha watu wanakupiga, oda za viroba lazma utoe siku moja kabla na uwe umelipia kuepusha usumbufu
 
Mkuu vipi ulifanikiwa mradi wako? Naomba kujulishwa kama kuna mabadiliko ya bei ya hizi mashine za kusaga na kukoboa nataka kufunga kwenye umeme wa REA.
 
Nahitaji hiyo cherehani ya kushonea mifuko.

Naomba pia nijue hiko kiwanda wanachotengeneza hiyo mifuko.

Unatumia mizani gani? Na bei yake ipoje?

Naomba mawasiliano yako. Yangu 0714140094
a682a258bee046a504050307d1f8d581.jpg
 
Back
Top Bottom